Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan wa kuendelea mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan wa kuendelea mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Aug 04, 2020 22:04

    Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan amekosoa hatua ya Saudi Arabia ya kuendeleza hujuma na mashambulio yake ya kijeshi dhidi ya Yemen.

  • India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    Aug 04, 2020 08:16

    Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuzidisha hatua kali za usalama kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.

  • Imran Khan akosoa mashambulizi ya Saudia huko Yemen, asema yanayofanyika Kashmir ni sawa na jinai za Manazi wa Ujerumani

    Imran Khan akosoa mashambulizi ya Saudia huko Yemen, asema yanayofanyika Kashmir ni sawa na jinai za Manazi wa Ujerumani

    Aug 03, 2020 21:02

    Waziri Mkuu wa Pakistan amekosoa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya taifa la Yemen.

  • Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Jul 13, 2020 05:45

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu mauaji ya Wakashmiri yanayofanywa na wanajeshi wa India.

  • Upinzani wa Pakistan kuhusu ushindani wa silaha za nyuklia

    Upinzani wa Pakistan kuhusu ushindani wa silaha za nyuklia

    May 31, 2020 23:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi yake inapinga ushindani wa silaha za nyuklia katika eneo hili.

  • Madai ya Marekani kuhusu serikali ya Pakistan kuyapa hifadhi makundi yanayopinga serikali ya Afghanistan

    Madai ya Marekani kuhusu serikali ya Pakistan kuyapa hifadhi makundi yanayopinga serikali ya Afghanistan

    May 24, 2020 23:25

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetoa ripoti na kudai kwamba serikali ya Pakistan sambamba na kuyapa hifadhi makundi yanayoipinga serikali ya Afghanistan, pia inayaunga mkono.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    May 23, 2020 03:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Pakistan kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo iliyoua makumi ya watu.

  • Wasiwasi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu harakati za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir

    Wasiwasi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu harakati za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir

    May 09, 2020 03:28

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameonyeshaa wasiwasi mkubwa alionao kuhusiana na harakati mpya za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir (Line of Control) na kuongezeka mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya mstari huo.

  • Sisitizo la Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan la kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita nchini Afghanistan

    Sisitizo la Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan la kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita nchini Afghanistan

    Apr 23, 2020 21:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amesisitizia azma na irada ya nchi yake kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita na mapigano nchini Afghanistan.

  • Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India

    Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India

    Apr 20, 2020 08:23

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS