Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Wanajeshi wa India na Pakistan wafyatuliana tena risasi kwenye mpaka wa eneo la Kashmir

    Wanajeshi wa India na Pakistan wafyatuliana tena risasi kwenye mpaka wa eneo la Kashmir

    Sep 27, 2020 10:28

    Askari mmoja wa Pakistan ameuawa katika mapigano mapya ya mpakani yaliyozuka katika eneo la Kashmir kati ya wanajeshi wa nchi hiyo na India.

  • Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 26, 2020 09:06

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema serikali ya Kihindu ya India inaunga mkono na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Maandamano ya kulaani kudhalilishwa Mtume Mtukufu (saw) yafanyika Kashmir

    Maandamano ya kulaani kudhalilishwa Mtume Mtukufu (saw) yafanyika Kashmir

    Sep 03, 2020 22:17

    Makumi ya wakazi wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan wamefanya maandamano ya kulaani kitendo cha jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Sep 02, 2020 03:27

    Pakistan imelaani vikali uamuzi wa jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Imran Khan: Pakistan kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    Imran Khan: Pakistan kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    Aug 19, 2020 05:26

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa nchi yake kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel.

  • Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan wa kuendelea mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan wa kuendelea mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Aug 04, 2020 22:04

    Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan amekosoa hatua ya Saudi Arabia ya kuendeleza hujuma na mashambulio yake ya kijeshi dhidi ya Yemen.

  • India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    Aug 04, 2020 08:16

    Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuzidisha hatua kali za usalama kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.

  • Imran Khan akosoa mashambulizi ya Saudia huko Yemen, asema yanayofanyika Kashmir ni sawa na jinai za Manazi wa Ujerumani

    Imran Khan akosoa mashambulizi ya Saudia huko Yemen, asema yanayofanyika Kashmir ni sawa na jinai za Manazi wa Ujerumani

    Aug 03, 2020 21:02

    Waziri Mkuu wa Pakistan amekosoa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya taifa la Yemen.

  • Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Jul 13, 2020 05:45

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu mauaji ya Wakashmiri yanayofanywa na wanajeshi wa India.

  • Upinzani wa Pakistan kuhusu ushindani wa silaha za nyuklia

    Upinzani wa Pakistan kuhusu ushindani wa silaha za nyuklia

    May 31, 2020 23:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi yake inapinga ushindani wa silaha za nyuklia katika eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS