Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India

    OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India

    Apr 19, 2020 22:42

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.

  • Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 14, 2020 09:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo kusitisha mauaji ya Waislamu na ukiukaji wa wazi wa haki za binaadamu nchini India.

  • Pakistan: Tuko huru kutumia silaha ya aina yoyote ya kivita

    Pakistan: Tuko huru kutumia silaha ya aina yoyote ya kivita

    Feb 26, 2020 01:15

    Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Anga la Jeshi la Pakistan amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo liko huru kutumia silaha yoyote ya kivita na haihitaji kuomba ruhusa kwa nchi yoyote ile.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya "Muamala wa Karne"

    Feb 20, 2020 04:45

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa sauti moja azimio linalopinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" likisema kuwa unawataka Wapalestina wasalimu amri kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya Muamala wa Karne

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya Muamala wa Karne

    Feb 19, 2020 04:48

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa kauli moja azimio la kulaani mpango wa Kimarekani wa Muamala wa Karne, likisisitiza kuwa njama hizo za Washigton zilizojaa hila zinakusudia kuwafanya Wapalestina wasalimu amri katika hali ya idhilali mbele madhalimu wao.

  • Pakistan haina imani na upatanishi wa Marekani katika mzozo wa Kashmir

    Pakistan haina imani na upatanishi wa Marekani katika mzozo wa Kashmir

    Feb 07, 2020 02:41

    Waziri Kiongozi wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan amesema kuwa upatanishi wa Marekani katika utatuzi wa mzozo wa eneo hilo hautakuwa na maslahi kwa Waislamu.

  • Waziri Kiongozi wa Uttar Pradesh: Waislamu walishwe risasi badala ya biriani

    Waziri Kiongozi wa Uttar Pradesh: Waislamu walishwe risasi badala ya biriani

    Feb 06, 2020 08:55

    Waziri Kiongozi wa jimbo la Uttar Pradesh nchini India kutoka chama cha Waziri Mkuu wa nchi hiyo ametoa matamshi ya kibaguzi na kichochezi dhidi ya Waislamu akitaka wauawe.

  • Pakistan: Matumaini ya Trump kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Kashmir, ni ujinga mkubwa

    Pakistan: Matumaini ya Trump kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Kashmir, ni ujinga mkubwa

    Feb 03, 2020 12:24

    Seneta wa ngazi ya juu nchini Pakistan sambamba na kubainisha kwamba Marekani kamwe haijawahi kuwatakia jambo la kheri Waislamu, amesema kuwa Trump hataki hata kidogo kutatuliwa matatizo ya Waislamu wa Kashmir.

  • Msimamo wa Imran Khan kuhusu njia mjarabu ya kufikiwa usalama nchini Afghanistan

    Msimamo wa Imran Khan kuhusu njia mjarabu ya kufikiwa usalama nchini Afghanistan

    Jan 27, 2020 04:37

    Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan sambamba na kusisitiza kutokuwepo njia ya utatuzi wa kijeshi kwa mzozo wa Afghanistan, amesema kuwa amani ya nchi hiyo itafikiwa pale tu kundi la Taleban litakapofanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo.

  • Pakistan yakiri ilifanya kosa kubwa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan

    Pakistan yakiri ilifanya kosa kubwa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan

    Jan 22, 2020 22:57

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa, uamuazi wa nchi yake wa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan kwenye kile kilichodaiwa kuwa ni kupambana na ugaidi, lilikuwa kosa kubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS