Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Madai ya Marekani kuhusu serikali ya Pakistan kuyapa hifadhi makundi yanayopinga serikali ya Afghanistan

    Madai ya Marekani kuhusu serikali ya Pakistan kuyapa hifadhi makundi yanayopinga serikali ya Afghanistan

    May 24, 2020 23:25

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetoa ripoti na kudai kwamba serikali ya Pakistan sambamba na kuyapa hifadhi makundi yanayoipinga serikali ya Afghanistan, pia inayaunga mkono.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    May 23, 2020 03:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Pakistan kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo iliyoua makumi ya watu.

  • Wasiwasi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu harakati za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir

    Wasiwasi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu harakati za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir

    May 09, 2020 03:28

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameonyeshaa wasiwasi mkubwa alionao kuhusiana na harakati mpya za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir (Line of Control) na kuongezeka mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya mstari huo.

  • Sisitizo la Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan la kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita nchini Afghanistan

    Sisitizo la Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan la kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita nchini Afghanistan

    Apr 23, 2020 21:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amesisitizia azma na irada ya nchi yake kuendeleza juhudi za kuhitimisha vita na mapigano nchini Afghanistan.

  • Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India

    Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India

    Apr 20, 2020 08:23

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.

  • OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India

    OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India

    Apr 19, 2020 22:42

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.

  • Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 14, 2020 09:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo kusitisha mauaji ya Waislamu na ukiukaji wa wazi wa haki za binaadamu nchini India.

  • Pakistan: Tuko huru kutumia silaha ya aina yoyote ya kivita

    Pakistan: Tuko huru kutumia silaha ya aina yoyote ya kivita

    Feb 26, 2020 01:15

    Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Anga la Jeshi la Pakistan amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo liko huru kutumia silaha yoyote ya kivita na haihitaji kuomba ruhusa kwa nchi yoyote ile.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya njama ya Trump ya "Muamala wa Karne"

    Feb 20, 2020 04:45

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa sauti moja azimio linalopinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" likisema kuwa unawataka Wapalestina wasalimu amri kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya Muamala wa Karne

    Seneti ya Pakistan yapasisha azimio dhidi ya Muamala wa Karne

    Feb 19, 2020 04:48

    Baraza la Seneti la Pakistan limepasisha kwa kauli moja azimio la kulaani mpango wa Kimarekani wa Muamala wa Karne, likisisitiza kuwa njama hizo za Washigton zilizojaa hila zinakusudia kuwafanya Wapalestina wasalimu amri katika hali ya idhilali mbele madhalimu wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS