-
Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan
Nov 18, 2023 23:02Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.
-
Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa
Nov 11, 2023 10:17Kufuatia kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Kabul na Islamabad, gazeti moja la Pakistan limeandika kuwa serikali ya nchi hiyo haiiungi mkono tena serikali ya Taliban ya Afghanistan katika ngazi ya kimataifa.
-
Kushtadi mashambulizi ya kigaidi huko Pakistan; sababu na taathira zake
Nov 04, 2023 08:12Kitengo cha Mahusiano ya Umma cha Jeshi la Pakistan kimetangaza kuwa vikosi vya jeshi hilo vimesambaratisha shambulio la kigaidi la leo asubuhi katika kambi ya kikosi cha jeshi la anga katika mji wa Mianwali katika jimbo la Punjab. Wavamizi watatu wameuwa na magaidi kadhaa wamekimbia eneo la tukio.
-
Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan
Sep 30, 2023 23:24Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
-
Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan
Sep 30, 2023 01:16Rais Ebrahim Raisi wa Iran amelaani mashambulizi mawili ya kigaidi yaliuoua makumi ya watu katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan.
-
Katibu Mkuu wa UN: Pakistan ni 'muathirika pacha', inahitaji na inastahiki msaada mkubwa wa jamii ya kimataifa
Sep 28, 2023 23:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa mwito wa kuungwa mkono Pakistan, ambayo inaendelea kujijenga upya kufuatia mafuriko makubwa ya mwaka jana, na kuitaja nchi hiyo kuwa ni "mwathirika pacha" wa "machafuko ya hali ya hewa" na mfumo "usio wa haki" wa kifedha duniani.
-
Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Pakistan atiwa nguvuni
Aug 20, 2023 08:04Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Pakistan ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa chama cha Tehreek-e-Insaf Pakistan amekamatwa na kuwekwa kizuizini na vyombo vya usalama mjini Islamabad.
-
Syria yamtunuku Nishani ya Ushujaa rubani Mpakistani aliyepigana Vita vya Siku 6 vya Waarabu na Israel
Aug 13, 2023 10:47Syria imemtunukia Nishani ya Ushujaa ya nchi hiyo rubani mkongwe wa Jeshi la Anga la Pakistan, AbdulSattar Alvi, ambaye aliidungua ndege ya kivita ya Israel wakati wa Vita vya Siku Sita kati ya Waarabu na utawala huo haramu wa Kizayuni vilivyopiganwa mwaka 1967.
-
Imran Khan akamatwa baada ya mahakama Pakistan kumhukumu kifungo cha miaka 3 jela
Aug 05, 2023 22:58Polisi wamemkamata waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan katika mji wa mashariki wa Lahore baada ya mahakama kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.
-
Viongozi wa Iran watoa mkono pole na kulaani vikali mripuko wa jana Jumapili wa nchini Pakistan
Jul 31, 2023 03:26Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya Pakistan baada ya kutokea mripuko wa kigaidi kaskazini magharibi mwa Pakistan na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.