-
Uruguay yafunga ofisi yake Quds kuonyesha mshikamano na Gaza (ASUBUHI)
Aug 18, 2025 02:54Serikali ya Uruguay imeamua kusitisha makubaliano ya ushirikiano yaliyotiwa saini mwezi Disemba mwaka jana 2024 kati ya Wakala wa Kitaifa wa Utafiti na Ubunifu wa Uruguay na chuo kikuu cha Israel huko Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, sanjari na kufunga Ofisi yake ya Ubunifu mjini Jerusalem ili kuonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?
Aug 14, 2025 04:33Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.
-
Polisi Uingereza yawatia nguvuni takriban watu 200 katika maandamano ya "Palestine Action mjini London"
Aug 10, 2025 02:38Polisi mjini London imeeleza kuwa imewatia mbaroni takriban watu 200 kwenye maandamano ya kuliunga mkono kundi kwa jina Palestine Action, ambalo mwezi uliopita serikali ya Uingereza ililitaja kuwa taasisi ya kigaidi.
-
Albanese: Vikwazo dhidi yangu si lolote kulinganisha na masaibu wanayopitia Wapalestina
Aug 06, 2025 12:41Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina amepuuzilia mbali vikwazo vilivyowekwa hivi karibuni na Marekani kutokana na msimamo wake wa kuukosoa utawala wa Israel, akisema kuwa vikwazo hivyo si lolote si chochte ikilinganisha na masaibu wanayoyastahamili na kupitia raia wa Palestina katika ardhi yao.
-
Rais wa Ireland aitaka UN kutumia sura ya 7 ya Mkataba wa umoja huo kuhitimisha mgogoro wa Gaza
Aug 05, 2025 14:31Rais Michael Daniel Higgins wa Ireland ameutaka Umoja wa Mataifa kutumia utaratibu wa Sura ya 7 ya Mkataba wa umoja huo dhidi ya Israel ili kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?
Aug 05, 2025 14:24Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kukata bajeti ya dharura ya kukabiliana na majanga ya asili na kudhamini usalama wa ndani wa majimbo na miji ya Marekani inayounga mkono Palestina na kususia makampuni ya Israel.
-
Australia: Palestina itatoweka kama mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea
Aug 05, 2025 14:12Penny Wong, Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia amesema kuwa kuna hatari kwamba hakutakuwa na Palestina inayoweza kutambuliwa iwapo mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea katika Ukanda wa Gaza sambamba na kuongezeka vitendo vya mabavu dhidi ya Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Albanese: Magharibi haiwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu Israel
Aug 03, 2025 05:41Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, nchi za Magharibi haziwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa
Aug 01, 2025 15:03Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.
-
Mmarekani aliyemuua mtoto wa Kipalestina afariki dunia gerezani
Jul 29, 2025 02:41Mwenye nyumba huko Illinois aliyepatikana na hatia ya kumuua mtoto wa mpangaji wake Mmarekani mwenye asili ya Palestina amefariki dunia akiwa kizuizini.