Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Uruguay yafunga ofisi yake Quds kuonyesha mshikamano na Gaza (ASUBUHI)

    Uruguay yafunga ofisi yake Quds kuonyesha mshikamano na Gaza (ASUBUHI)

    Aug 18, 2025 02:54

    Serikali ya Uruguay imeamua kusitisha makubaliano ya ushirikiano yaliyotiwa saini mwezi Disemba mwaka jana 2024 kati ya Wakala wa Kitaifa wa Utafiti na Ubunifu wa Uruguay na chuo kikuu cha Israel huko Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, sanjari na kufunga Ofisi yake ya Ubunifu mjini Jerusalem ili kuonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Aug 14, 2025 04:33

    Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.

  • Polisi Uingereza yawatia nguvuni takriban watu 200 katika maandamano ya

    Polisi Uingereza yawatia nguvuni takriban watu 200 katika maandamano ya "Palestine Action mjini London"

    Aug 10, 2025 02:38

    Polisi mjini London imeeleza kuwa imewatia mbaroni takriban watu 200 kwenye maandamano ya kuliunga mkono kundi kwa jina Palestine Action, ambalo mwezi uliopita serikali ya Uingereza ililitaja kuwa taasisi ya kigaidi.

  • Albanese: Vikwazo dhidi yangu si lolote kulinganisha na masaibu wanayopitia Wapalestina

    Albanese: Vikwazo dhidi yangu si lolote kulinganisha na masaibu wanayopitia Wapalestina

    Aug 06, 2025 12:41

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina amepuuzilia mbali vikwazo vilivyowekwa hivi karibuni na Marekani kutokana na msimamo wake wa kuukosoa utawala wa Israel, akisema kuwa vikwazo hivyo si lolote si chochte ikilinganisha na masaibu wanayoyastahamili na kupitia raia wa Palestina katika ardhi yao.

  • Rais wa Ireland aitaka UN kutumia sura ya 7 ya Mkataba wa umoja huo kuhitimisha mgogoro wa Gaza

    Rais wa Ireland aitaka UN kutumia sura ya 7 ya Mkataba wa umoja huo kuhitimisha mgogoro wa Gaza

    Aug 05, 2025 14:31

    Rais Michael Daniel Higgins wa Ireland ameutaka Umoja wa Mataifa kutumia utaratibu wa Sura ya 7 ya Mkataba wa umoja huo dhidi ya Israel ili kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?

    Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?

    Aug 05, 2025 14:24

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kukata bajeti ya dharura ya kukabiliana na majanga ya asili na kudhamini usalama wa ndani wa majimbo na miji ya Marekani inayounga mkono Palestina na kususia makampuni ya Israel.

  • Australia: Palestina itatoweka kama mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea

    Australia: Palestina itatoweka kama mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea

    Aug 05, 2025 14:12

    Penny Wong, Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia amesema kuwa kuna hatari kwamba hakutakuwa na Palestina inayoweza kutambuliwa iwapo mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea katika Ukanda wa Gaza sambamba na kuongezeka vitendo vya mabavu dhidi ya Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Albanese: Magharibi haiwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu Israel

    Albanese: Magharibi haiwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu Israel

    Aug 03, 2025 05:41

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, nchi za Magharibi haziwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa

    Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa

    Aug 01, 2025 15:03

    Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.

  • Mmarekani aliyemuua mtoto wa Kipalestina afariki dunia gerezani

    Mmarekani aliyemuua mtoto wa Kipalestina afariki dunia gerezani

    Jul 29, 2025 02:41

    Mwenye nyumba huko Illinois aliyepatikana na hatia ya kumuua mtoto wa mpangaji wake Mmarekani mwenye asili ya Palestina amefariki dunia akiwa kizuizini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS