Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?

    Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?

    May 22, 2026 15:20

    Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na utawala huo huko Gaza katika bahari ya Mediterania imeibua wimbi la hasira na chuki dhidi ya Wazayuni.

  • Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina

    Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina

    May 22, 2026 14:50

    Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa kwa jina la The Global Sumud Flotilla kwa lengo la kuvunja mzingiro haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika

    Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika

    May 19, 2026 04:03

    Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo huko Gaza, Palestina, anafanya kazi zaidi kuliko hapo awali, na hii ina maana ya kubadilika simulizi kuhusu vita vya Gaza.

  • UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel

    UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel

    May 17, 2026 08:42

    Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.

  • Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu

    Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita

    May 16, 2026 12:15

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.

  • Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça

    Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça

    May 13, 2026 08:12

    Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya kuwaunga mkono watu wanaokandamizwa wa Palestina.

  • Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel

    May 10, 2026 07:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.

  • Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano

    Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano

    May 09, 2026 08:06

    Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya harakati ya Hamas huko Gaza, amethibitisha kuuawa shahidi mwanawe, Azzam na rafiki yake, akisisitiza kuwa: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano kwenye meza ya mazungumzo kwa kulenga na kuua familia zetu.

  • Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita

    Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita

    May 07, 2026 11:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.

  • Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel

    Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel

    May 05, 2026 11:37

    Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS