-
HAMAS yakabidhi mapendekezo yake kuhusu makubaliano ya kusitisha vita Ghaza
Jul 24, 2025 06:52Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema katika taarifa iliyotoa mapema leo kwamba "imewasilisha majibu yake na yale ya makundi ya Wapalestina" kwa wapatanishi baada ya majuma kadhaa ya mazungumzo ya kusitisha mapigano yaliyoshindwa kuzaa matunda.
-
Brazil yajiunga katika kesi ya ICJ dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel Ghaza
Jul 24, 2025 06:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazili imetangaza kuwa iko katika "hatua za mwisho" za kuwasilisha mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ uamuzi wa kujiunga na kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel kwa kuhusika na mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?
Jul 23, 2025 08:58Marekani ilitangaza Jumanne, Julai 22, kwamba imejiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO.
-
Njaa, utapiamlo vyaua Wapalestina 86 katika Ukanda wa Gaza
Jul 20, 2025 15:10Wizara ya Afya ya Gaza imesema athari hasi za mzingiro wa kibaguzi wa Israel dhidi ya ukanda huo zimesababisha makumi ya Wapalestina kuaga dunia.
-
UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja
Jul 20, 2025 13:15Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kwa mara nyingine tena limeushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa kutumia njaa kama silaha ya vita dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Malaki ya Wayemen waandamana tena kutangaza mshikamano na Wagaza
Jul 18, 2025 15:58Mamia ya maelfu ya Watu huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, walikusanyika jana Ijumaa katika maandamano ya kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
-
Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni
Jul 18, 2025 14:50Nchi zinazounda Kundi la Hague, yaani The Hague Group zimetangaza kuwa zimesitisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza
Jul 18, 2025 05:06Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell, ameweka hadharani takwimu za kutisha kuhusu athari za mashambulizi ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO
Jul 17, 2025 14:02Rais Gustavo Petro wa Colombia amesema nchi yake inapaswa kukata uhusiano wake na NATO kwa kuwa viongozi wa shirika hilo la kijeshi la Magharibi wanaunga mkono "mauaji ya halaiki" ya Wapalestina.
-
Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel
Jul 17, 2025 11:20Muungano wa mataifa mbalimbali duniani yaliyokutana Bogota, mji mkuu wa Colombia umekubaliana kutekeleza hatua sita za kukomesha mashambulizi ya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza na kuzuia ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na utawala huo haramu.