Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS yakabidhi mapendekezo yake kuhusu makubaliano ya kusitisha vita Ghaza

    HAMAS yakabidhi mapendekezo yake kuhusu makubaliano ya kusitisha vita Ghaza

    Jul 24, 2025 06:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema katika taarifa iliyotoa mapema leo kwamba "imewasilisha majibu yake na yale ya makundi ya Wapalestina" kwa wapatanishi baada ya majuma kadhaa ya mazungumzo ya kusitisha mapigano yaliyoshindwa kuzaa matunda.

  • Brazil yajiunga katika kesi ya ICJ dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel Ghaza

    Brazil yajiunga katika kesi ya ICJ dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel Ghaza

    Jul 24, 2025 06:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazili imetangaza kuwa iko katika "hatua za mwisho" za kuwasilisha mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ uamuzi wa kujiunga na kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel kwa kuhusika na mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Ghaza.

  • Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Jul 23, 2025 08:58

    Marekani ilitangaza Jumanne, Julai 22, kwamba imejiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO.

  • Njaa, utapiamlo vyaua Wapalestina 86 katika Ukanda wa Gaza

    Njaa, utapiamlo vyaua Wapalestina 86 katika Ukanda wa Gaza

    Jul 20, 2025 15:10

    Wizara ya Afya ya Gaza imesema athari hasi za mzingiro wa kibaguzi wa Israel dhidi ya ukanda huo zimesababisha makumi ya Wapalestina kuaga dunia.

  • UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    Jul 20, 2025 13:15

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kwa mara nyingine tena limeushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa kutumia njaa kama silaha ya vita dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Malaki ya Wayemen waandamana tena kutangaza mshikamano na Wagaza

    Malaki ya Wayemen waandamana tena kutangaza mshikamano na Wagaza

    Jul 18, 2025 15:58

    Mamia ya maelfu ya Watu huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, walikusanyika jana Ijumaa katika maandamano ya kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.

  • Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Jul 18, 2025 14:50

    Nchi zinazounda Kundi la Hague, yaani The Hague Group zimetangaza kuwa zimesitisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza

    UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza

    Jul 18, 2025 05:06

    Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell, ameweka hadharani takwimu za kutisha kuhusu athari za mashambulizi ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.

  • Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO

    Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO

    Jul 17, 2025 14:02

    Rais Gustavo Petro wa Colombia amesema nchi yake inapaswa kukata uhusiano wake na NATO kwa kuwa viongozi wa shirika hilo la kijeshi la Magharibi wanaunga mkono "mauaji ya halaiki" ya Wapalestina.

  • Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

    Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

    Jul 17, 2025 11:20

    Muungano wa mataifa mbalimbali duniani yaliyokutana Bogota, mji mkuu wa Colombia umekubaliana kutekeleza hatua sita za kukomesha mashambulizi ya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza na kuzuia ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na utawala huo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS