-
Palestina yataka jamii ya kimataifa izuie ugaidi wa Israel
Dec 18, 2021 09:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura za kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe vitendo vya kigaidi vinavyotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.
-
Mapambano ya silaha na Israel na umoja wa Wapalestina; mihimili mikuu miwili ya harakati ya HAMAS
Dec 16, 2021 08:12Jumanne ya juzi tarehe 14 Disemba ilinasadifiana na mwaka wa 34 tangu kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kislamu ya Palestina HAMAS.
-
Jihad Islami yatilia mkazo kuendelezwa mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel
Dec 11, 2021 06:43Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imemesisitiza udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel.
-
Harakati ya HAMAS yaadhimisha miaka 34 ya kuasisiwa kwake
Dec 10, 2021 23:15Idadi kubwa ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza wameshiriki katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Rais wa Algeria: Nchi za Kiarabu zinapaswa kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Israel
Dec 07, 2021 00:01Rais wa Algeria amesisitiza udharura wa nchi za Kiarabu kushirikiana kwa ajili ya kusaidia mapambano ya ukombozi ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel.
-
HAMAS: 'Maandamano ya Bendera' ya Wazayuni hayawezi kubadilisha utambulisho wa Palestina
Dec 06, 2021 09:33Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, maandamano ya Wazayuni wakiwa wamebeba bendera za utawala haramu wa Israel hayawezi kubadilisha utambulisho wa Kiarabu na Kipalestina wa ardhi hizo na wakazi asili wa ardhi hizo.
-
HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 01, 2021 23:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeyataka mabunge ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu yasimame kidete na kuzizuia serikali zao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Siku ya Kimataifa ya Kufungamana na Palestina; hatua ya kipropaganda ya Umoja wa Mataifa
Dec 01, 2021 07:31Licha ya kupita miaka 44 tangu Umoja wa Mataifa utangaze tarehe 29 Novemba kuwa Siku ya Kimataifa ya Kufungamana na Taifa la Palestina lakini hakuna lolote la maana ambalo limechukuliwa katika uwanja huo na badala yake hali ya Palestina inaendelea kuwa mbaya na ya kusikitisha mwaka hadi mwingine.
-
Israel imewasababishia Wapalestina hasara ya dola bilioni 57 katika Ukingo wa Magharibi
Nov 30, 2021 01:00Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo UNCTAD limechapisha ripoti inayoonyesha kuwa sera za ukaliaji mabavu za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan zimesababisha hasara ya kiuchumi ya zaidi ya dola bilioni 57 kwa taifa la Palestina katika kipindi cha miongo miwili iliyopita.
-
Onyo la HAMAS kwa rais wa utawala haramu wa Israel
Nov 28, 2021 08:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mpango wa Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Isaac Herzog wa kuutembelea Mstikiti wa Ibrahim kusini magharibi mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.