Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Oct 09, 2021 04:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka Wapalestina wajitayarishe kwa ajili ya kuutetea Msikiti wa al Aqsa bila ya kujali uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kusitisha azma yake ya kuruhusu ibada ya Mayahudi katika eneo hilo tukufu.

  • Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Oct 08, 2021 13:22

    Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • Az-Zahar: Uingereza ndio iliyoandaa mazingira ya Palestina kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu na Wazayuni

    Az-Zahar: Uingereza ndio iliyoandaa mazingira ya Palestina kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu na Wazayuni

    Oct 07, 2021 01:06

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, wavamizi wa Kiingereza ndio walioandaa mazingira kwa Wazayuni kuvamia na kuikalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • "Kujipendekeza Abbas kwa Israel kunaashiria kudidimia Mamlaka ya Ndani Palestina"

    Oct 05, 2021 04:30

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali hatua ya Mamhoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kujidhalilisha na kuwaangukia miguuni maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kinaonesha namna mamlaka hiyo inavyoendelea kudidimia na kusambaratika.

  • Abbas akutana na mawaziri wa Israel usiku wa manane Ramallah

    Abbas akutana na mawaziri wa Israel usiku wa manane Ramallah

    Oct 04, 2021 08:07

    Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wawili wa utawala haramu wa Israel mjini Ramallah, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Miaka 21 baada ya Oktoba Mosi 2000; ibra na mazingatio ya Intifadha ya al-Aqswa kwa Wapalestina

    Miaka 21 baada ya Oktoba Mosi 2000; ibra na mazingatio ya Intifadha ya al-Aqswa kwa Wapalestina

    Oct 02, 2021 08:22

    Wananchi wa Palestina wamefanya maandamano kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 21 ya Intifadha ya Quds ambapo wakiwa wamebeba mabango na maberamu wametoa nara za kulaani siasa na jinai za utawala vamizi wa Quds.

  • Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Oct 01, 2021 23:05

    Wapalestina wapatao 50,000 jana walisali Sala ya Ijumaa katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa licha ya hatua kali za jeshi la utawala haramu wa Israel la kuwazuia waumini kuingia katika kibla hicho cha kwanza chah Waislamu.

  • Balozi wa Palestina UN: Israel inapanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia

    Balozi wa Palestina UN: Israel inapanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia

    Sep 30, 2021 00:13

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukipanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia na unafanya njama za kukwamisha uhudi za kupatikana eneo lisilo na silaha za nyuklia Asia Magharibi.

  • HAMAS yaishukuru tena Iraq kwa misimamo yake ya kupinga kuanzishwa mapatano na Israel

    HAMAS yaishukuru tena Iraq kwa misimamo yake ya kupinga kuanzishwa mapatano na Israel

    Sep 27, 2021 22:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imeishukuru serikali, makundi ya kisiasa, wazee wa koo na viongozi wa makabila ya Iraq, kwa msimamo wao wa kupinga kuanzishwa mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Jihadul Islami yatoa onyo kali baada ya Israel kuwaua Wapalestina watano

    Jihadul Islami yatoa onyo kali baada ya Israel kuwaua Wapalestina watano

    Sep 27, 2021 04:01

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo katili kuwaua shahidi wanamapambano watano wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS