-
Algeria: Hakuna amani bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina
Jul 09, 2021 02:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesema kuwa taifa la Palestina linataka amani na kwamba jambo hilo halitatimia bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Nasrullah: Daesh ilianzishwa ili kuwasahaulisha Waislamu kadhia ya Palestina
Jul 05, 2021 22:38Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa moja kati ya malengo ya kuanzishwa kundi la kigaidi la Daesh ni kuwasahaulisha Waislamu kadhia ya ukombozi wa Palestina.
-
Hamas: Vitisho vya Gantz ni kwa ajili ya kuboresha sura ya jeshi la Israel
Jul 05, 2021 22:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, vitisho vilivyotolewa na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel vya kulishambulia tena eneo la Ukanda wa Gaza ni jaribio la kuboresha sura ya jeshi la utawala huo iliyoharibika baada ya kipigo cha karibuni cha wanamapambano wa Kipalestina.
-
Msichana Mpalestina ahukumiwa kifungo miezi 30 jela kwa madai ya kushirikiana na Hizbullah
Jul 05, 2021 02:35Mahakama ya utawala wa Kizayuni imeendeleza dhulma zake za kila siku kwa kumuhukumu msichana mmoja Mpalestina, kifungo cha miezi 30 jela kwa madai ya kuwa na mawasiliano na Hizbullah ya Lebanon.
-
Jihadul Islami: Tunazo nguvu za kuwatimua Wazayuni katika ardhi zote za Palestina
Jul 03, 2021 22:06Kiongozi wa ngazi za juu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, muqawama wa wananchi wa Palestina una nguvu za kuufurusha kikamilifu utawala wa Kizayuni na walowezi wa Kizayuni katika kila shibri ya ardhi ya Palestina.
-
Hamas yaghadhabishwa na Google, Apple kuiondoa 'Palestina' katika ramani
Jul 01, 2021 03:10Ofisi ya Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali hatua ya mashirika ya Kimarekani ya Google na Apple ya kuliondoa neno 'Palestina' katika ramani zao za dunia. Kwa mujibu wa mashirika hayo, hivi sasa hakuna pahala duniani panapotambulika kama Palestina.
-
Viongozi wa Hamas, Jihad Islami wakutana, wasisitiza umoja wa Palestina
Jun 30, 2021 22:53Viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina wamekutana na kusisitiza ulazima wa kuimarisha na kudumisha umoja baina ya Wapalestina.
-
Ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Israel katika kuwakandamiza Wapalestrina
Jun 27, 2021 04:44Kuuawa shahidi mwanaharakati wa Kipalestina Nizar Banat mwenye umri wa miaka 42 na askari wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kumeongeza mashinikizo dhidi ya mamlaka hiyo na mkuu wake Mahmoud Abbas, ambapo sasa Wapalestina wanataka malaka hiyo ivunjwe na Rais Mahmoud Abbas ajiuzulu.
-
Palestina yataka kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel
Jun 26, 2021 22:07Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imelaani uhalifu unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na kutoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya utawala huo.
-
Palestina, OIC zailaani Honduras kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds
Jun 26, 2021 08:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekosoa vikali hatua ya serikali ya Honduras ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv.