Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Jan 27, 2021 00:55

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahid kijana Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Jan 24, 2021 23:01

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina na muqawama wa taifa hilo mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Jan 21, 2021 08:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa Donald Trump alikuwa mshirika wa moja kwa moja wa utawala wa Kizayuni katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina.

  • Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Jan 20, 2021 08:35

    Makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza yamesema kuwa umoja ni njia pekee ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya kadhia ya Palestina.

  • Fat'h na Hamas zaunga mkono kufanyika uchaguzi Palestina baada ya miaka 15

    Fat'h na Hamas zaunga mkono kufanyika uchaguzi Palestina baada ya miaka 15

    Jan 16, 2021 04:15

    Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Fat'h na Hamas zimeunga mkono tangazo la Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuhusu kufanyika uchaguzi wa bunge la rais baadaye mwaka huu.

  • B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    Jan 12, 2021 04:51

    Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) cha B'Tselem kimesema Israel ni utawala wa kibaguzi na wala si wa kidemokrasia.

  • Yemen: Uhasama wa Magharibi kwa Iran umetokana na Tehran kuwaunga mkono Wapalestina

    Yemen: Uhasama wa Magharibi kwa Iran umetokana na Tehran kuwaunga mkono Wapalestina

    Jan 08, 2021 23:11

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa wa Yemen amekosoa vikali njama za kutaka kuundwa eti muungano dhidi ya Iran ikiwa ni sehemu ya mradi wa pamoja wa Waarabu, Israel na Marekani na kusisitiza kuwa, jitihada za namna hiyo zikasudia kuzuia uungaji mkono usio na kifani wa Tehran na kwa kadhia ya Palestina na Wapalestina.

  • Israel iliharibu nyumba 729 za Wapalestina mwaka 2020

    Israel iliharibu nyumba 729 za Wapalestina mwaka 2020

    Jan 07, 2021 05:20

    Utawala haramu wa Israel uliharibu nyumba 729 za raia wa Palestina katika mwaka uliopita wa 2020 kwa kutumia kisingizio cha kujengwa bila ya vibali.

  • Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Jan 06, 2021 23:06

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleze wajibu wake wa kimataifa na kuhakikisha kuwa chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 zinawafikia wananchi wa Palestina.

  • Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Jan 02, 2021 23:23

    Ofisi ya habari inayoshughulikia masuala ya mateka Wapalestina imetangaza kuwa mateka 15 Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya Kizayuni ya An-Naqb wameambukizwa virusi vya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS