Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • ICC  yaanza kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Palestina

    ICC yaanza kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Palestina

    Mar 04, 2021 02:14

    Mwendesha Mashtaka wa Makakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amesema kuwa mahakama hiyo imeanza uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Palestina: Silaha za Israel zimetumika kuua Waislamu na wapinzani wa mapinduzi Myanmar

    Palestina: Silaha za Israel zimetumika kuua Waislamu na wapinzani wa mapinduzi Myanmar

    Mar 04, 2021 00:45

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeituhumu Israel kuwa inauuzia silaha utawala wa Myanmar ambazo zimetumika kuua Waislamu wa jamii ya Rohingya na vilevile kuua wapinzani wa mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo, licha ya marufuku ya kimataifa ya kuiuzia silaha nchi hiyo.

  • Makundi ya Kipalestina yasisitiza kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo

    Makundi ya Kipalestina yasisitiza kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo

    Mar 03, 2021 04:31

    Makundi ya Kipalestina yamesisitiza juu ya udharura wa kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo, Misri kama ilivyopangwa.

  • Wanachuo wa Mauritania wapinga upenyaji wa Wazayuni katika nchi yao

    Wanachuo wa Mauritania wapinga upenyaji wa Wazayuni katika nchi yao

    Feb 27, 2021 23:50

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia nchini Mauritania wametangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kupinga vikali upenyaji na ushawishi wa Wazayuni katika nchi hiyo.

  • HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Feb 23, 2021 23:12

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, siasa za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuiyahudisha Quds zimeshindwa na kugonga mwamba na kwamba, Quds utabakia kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Vipengele vya

    Vipengele vya "Hati ya Heshima ya Palestina" kwa ajili ya kukabiliana na mapatano ya kuanzisha uhusiano rasmi na Israel

    Feb 22, 2021 09:07

    Makundi ya Kipalestina, jana Jumapili Februari 21 yalikutana Ukanda wa Gaza na kusaini "Hati ya Heshima ya Palestina" katika kuonyesha upinzani wao dhidi ya uanzishaji uhusiano wa kawaida wa vyombo vya habari na utawala haramu wa Kizayuni.

  • Hamas: Kubadilishana mateka, njia pekee ya Israel kuwapata mateka wake

    Hamas: Kubadilishana mateka, njia pekee ya Israel kuwapata mateka wake

    Feb 19, 2021 03:41

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni itawapata wanajeshi wake waliotekwa nyara kupitia tu mpango wa kubadilishana mateka.

  • Palestina yataka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Palestina yataka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Feb 15, 2021 04:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina jana usiku ilitoa tamko na kutaka kuharakishwa kufuatiliwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina

    UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina

    Feb 10, 2021 20:05

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kubariki kuchunguzwa jinai za utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya taifa la Palestina umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina.

  • EU yapinga bomoabomoa ya nyumba za raia wa Palestina inayofanywa na Israel

    EU yapinga bomoabomoa ya nyumba za raia wa Palestina inayofanywa na Israel

    Feb 10, 2021 03:33

    Msemaji wa Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya (EU) ametoa taarifa akipinga vikali operesheni ya kuboa nyumba za raia wa Palestina inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS