-
Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi
Jan 27, 2021 00:55Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahid kijana Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina
Jan 24, 2021 23:01Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina na muqawama wa taifa hilo mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina
Jan 21, 2021 08:13Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa Donald Trump alikuwa mshirika wa moja kwa moja wa utawala wa Kizayuni katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina.
-
Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni
Jan 20, 2021 08:35Makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza yamesema kuwa umoja ni njia pekee ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya kadhia ya Palestina.
-
Fat'h na Hamas zaunga mkono kufanyika uchaguzi Palestina baada ya miaka 15
Jan 16, 2021 04:15Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Fat'h na Hamas zimeunga mkono tangazo la Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuhusu kufanyika uchaguzi wa bunge la rais baadaye mwaka huu.
-
B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi
Jan 12, 2021 04:51Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) cha B'Tselem kimesema Israel ni utawala wa kibaguzi na wala si wa kidemokrasia.
-
Yemen: Uhasama wa Magharibi kwa Iran umetokana na Tehran kuwaunga mkono Wapalestina
Jan 08, 2021 23:11Waziri Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa wa Yemen amekosoa vikali njama za kutaka kuundwa eti muungano dhidi ya Iran ikiwa ni sehemu ya mradi wa pamoja wa Waarabu, Israel na Marekani na kusisitiza kuwa, jitihada za namna hiyo zikasudia kuzuia uungaji mkono usio na kifani wa Tehran na kwa kadhia ya Palestina na Wapalestina.
-
Israel iliharibu nyumba 729 za Wapalestina mwaka 2020
Jan 07, 2021 05:20Utawala haramu wa Israel uliharibu nyumba 729 za raia wa Palestina katika mwaka uliopita wa 2020 kwa kutumia kisingizio cha kujengwa bila ya vibali.
-
Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina
Jan 06, 2021 23:06Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleze wajibu wake wa kimataifa na kuhakikisha kuwa chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 zinawafikia wananchi wa Palestina.
-
Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona
Jan 02, 2021 23:23Ofisi ya habari inayoshughulikia masuala ya mateka Wapalestina imetangaza kuwa mateka 15 Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya Kizayuni ya An-Naqb wameambukizwa virusi vya corona.