Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Makundi ya Kipalestina yakaribisha oparesheni dhidi ya Wazayuni

    Makundi ya Kipalestina yakaribisha oparesheni dhidi ya Wazayuni

    Mar 17, 2019 13:41

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yamekaribisha na kupongeza kufanyika kwa mafanikio oparesheni mpya dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Mar 15, 2019 12:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imelaani vikali hatua ya Marekani ya kudondosha maneno "inayokaliwa kwa mabavu na Israel" kuashiria Miinuko ya Golan, na "maeneo ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu" katika ripoti yake mpya haki za binadamu ya kila mwaka.

  • Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Mar 15, 2019 03:51

    Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan imetoa wito wa kufukuzwa balozi wa Israel mjini Amman, kurejeshwa nyumbani balozi wa Jordan huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kufutwa mkataba wa gesi na Israel.

  • Vijana wa Kipalestina waendelea kuuawa shahidi na askari katili wa Israel

    Vijana wa Kipalestina waendelea kuuawa shahidi na askari katili wa Israel

    Mar 13, 2019 04:34

    Utawala katili wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mahmoud Abbas akosolewa vikali kwa kujichukulia maamuzi ya upande mmoja ya kuteua waziri mkuu mpya wa Palestina

    Mahmoud Abbas akosolewa vikali kwa kujichukulia maamuzi ya upande mmoja ya kuteua waziri mkuu mpya wa Palestina

    Mar 11, 2019 23:25

    Makundi ya muqawama ya Palestina yametangaza kuwa, hatua aliyochukua Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya kuunda serikali mpya kwa kuteua waziiri mkuu mpya yanadhihirisha sera za kidikteta anazotekeleza.

  • Wanajeshi wa Israel wampiga risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina

    Wanajeshi wa Israel wampiga risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina

    Mar 10, 2019 10:45

    Kijana wa Kipalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mar 08, 2019 04:15

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimethibitisha habari ya mashambulio ya makombora mawili ya Wapalestina yaliyovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelelekea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Mayahudi wanaoishi Marekani wamuunga mkono mbunge Mwislamu wa nchi hiyo 'Ilhan Omar'

    Mayahudi wanaoishi Marekani wamuunga mkono mbunge Mwislamu wa nchi hiyo 'Ilhan Omar'

    Mar 07, 2019 03:52

    Kundi la Mayahudi wanaoishi nchini Marekani wametangaza uungaji mkono wao kwa Ilhan Omar, mbunge Mwislamu wa nchi hiyo kutokana na misimamo yake ya ukosoaji siasa chafu za Washington kuuhusu utawala haramu wa Israel.

  • UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza

    UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza

    Mar 06, 2019 23:23

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Israel kupinga ripoti ya wataalamu wa umoja huo kuhusu mauaji ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yaliyofanywa na askari katili wa utawala huo haramu.

  • Palestina yapuuza agizo la mahakama ya Israel la kufunga lango la Msikiti wa al-Aqsa

    Palestina yapuuza agizo la mahakama ya Israel la kufunga lango la Msikiti wa al-Aqsa

    Mar 06, 2019 10:25

    Mamlaka ya Wakfu wa Kidini ya Palestina imepuuzilia mbali agizo lililotolewa na mahakama ya utawala wa Kizayuni wa Israel la kuitaka ifunge moja ya malango muhimu ya Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS