Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina

    Mar 30, 2019 03:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka mmoja ya Maandamano ya Wapalestina ya "Haki ya Kurejea" yaliyoanza rasmi tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.

  • Ubalozi wa Palestina Tehran: Kulaani kwa maneno tu hakutoshi, lazima zichukuliwe hatua kukabiliana na Israel

    Ubalozi wa Palestina Tehran: Kulaani kwa maneno tu hakutoshi, lazima zichukuliwe hatua kukabiliana na Israel

    Mar 28, 2019 00:08

    Ubalozi wa Palestina mjini Tehran umetoa taarifa maalumu inayosisitiza kwamba: Kutazama tu unyama unaofanywa na kuulaani kwa maneno matupu utawala wa Kizayuni wa Israel si dawa ya kutibu machungu, bali kuna ulazima wa kukabiliana kivitendo na utawala huo haramu.

  • Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza

    Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza

    Mar 25, 2019 09:05

    Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kufanya shambulio lolote dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Haniyeh: Israel inakabiliwa na mazingira magumu sana ya baadaye

    Haniyeh: Israel inakabiliwa na mazingira magumu sana ya baadaye

    Mar 23, 2019 21:58

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyeh amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatakiwa kufahamu ujumbe wa maandamano ya kurejea yanayoendelea katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel na kwamba kinyume na hivyo basi utakabiliwa na mustakbali mgumu zaidi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa "Muamala wa Karne"

    Mar 19, 2019 23:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi amesema: Marekani haiwezi kuutekeleza mpango wa "Muamala wa Karne" pasi na kukubali kuwepo nchi huru ya Palestina.

  • UN yailaani Israel kwa kuwapokonya Wapalestina rasilimali

    UN yailaani Israel kwa kuwapokonya Wapalestina rasilimali

    Mar 18, 2019 23:34

    Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina Michael Lynk amesema upokonyaji wa maliasili za Wapalestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika maeneo ya Palestina ni uporaji wa wazi.

  • Makundi ya Kipalestina yakaribisha oparesheni dhidi ya Wazayuni

    Makundi ya Kipalestina yakaribisha oparesheni dhidi ya Wazayuni

    Mar 17, 2019 13:41

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yamekaribisha na kupongeza kufanyika kwa mafanikio oparesheni mpya dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Palestina: Ripoti ya Marekani inadhihirisha uhasama wao kwa Wapalestina

    Mar 15, 2019 12:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imelaani vikali hatua ya Marekani ya kudondosha maneno "inayokaliwa kwa mabavu na Israel" kuashiria Miinuko ya Golan, na "maeneo ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu" katika ripoti yake mpya haki za binadamu ya kila mwaka.

  • Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Mar 15, 2019 03:51

    Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan imetoa wito wa kufukuzwa balozi wa Israel mjini Amman, kurejeshwa nyumbani balozi wa Jordan huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kufutwa mkataba wa gesi na Israel.

  • Vijana wa Kipalestina waendelea kuuawa shahidi na askari katili wa Israel

    Vijana wa Kipalestina waendelea kuuawa shahidi na askari katili wa Israel

    Mar 13, 2019 04:34

    Utawala katili wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS