Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Al Houthi: Mkutano wa Warsaw ulikuwa sherehe ya kutangaza uhusiano wa Waarabu na Israel

    Al Houthi: Mkutano wa Warsaw ulikuwa sherehe ya kutangaza uhusiano wa Waarabu na Israel

    Mar 03, 2019 23:10

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika huko Warsaw nchini Poland ulikuwa tangazao la kuanzishwa uhusiano na ushirikiano baina ya baadhi ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Mar 02, 2019 12:29

    Mbunge Muislamu katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, anasikitika kuona misimamo yake dhidi ya utawala wa Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi.

  • UN: Israel imefanya jinai dhidi ya binadamu Palestina

    UN: Israel imefanya jinai dhidi ya binadamu Palestina

    Feb 28, 2019 23:45

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameripoti kuwa, Israel imefanya jinai dhidi ya binadamu katika kukandamiza maandamano ya raia wa Ukanda wa Gaza.

  • Riyadh al-Maliki: Hali ya Palestina ni ya maafa makubwa

    Riyadh al-Maliki: Hali ya Palestina ni ya maafa makubwa

    Feb 28, 2019 04:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amesema hali ya mambo huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni ya maafa na ametaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kufuatilia ukiukaji haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Feb 26, 2019 04:29

    Mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayeishi jimboni California nchini Marekani amefichua kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeficha nyaraka laki tatu zinazohusu jinai za kutisha za utawala huo haramu yakiwemo mauaji ya Wapalestina.

  • Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Feb 25, 2019 01:40

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, misimamo ya Marekani ni misimamo ya kidhalimu, kidikteta na inayokinzana na maslahi ya mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na hivyo haitaweza kubadili misimamo ya muqawama.

  • Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Feb 24, 2019 10:49

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imewakamata wasimamizi wa ngazi za juu wa Matukufu ya Kiislamu katika mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    Feb 23, 2019 04:02

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa Umma wa Kiislamu.

  • Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Feb 20, 2019 23:23

    Waziri wa Masuala ya Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na njama za kutaka kuugawa Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Israel inazifanyia majaribio silaha zake kwa watoto wa Kipalestina

    Israel inazifanyia majaribio silaha zake kwa watoto wa Kipalestina

    Feb 18, 2019 04:23

    Profesa mmoja anayehadhiri katika Chuo Kikuu cha Hebrew kilichoko katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel linazifanyia majaribio silaha zake mbalimbali kwa Wapalestina, wakiwemo hata watoto wadogo ili kuweza kuelewa ni zipi zenye nguvu na uwezo mkubwa zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS