-
Velayati: Kuunga mkono Palestina ni moja ya thamani za kimsingi za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Feb 13, 2019 23:11Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa, kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina na Beitul-Muqaddas ni moja ya thamani za kimsingi, kiistratejia na malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Wapalestina wazitaka nchi za Kiarabu zisusie mkutano wa Poland
Feb 12, 2019 10:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametoa mwito kwa nchi za Kiarabu kususia mkutano wa Poland, ulioitishwa na kufadhiliwa na Marekani.
-
Israel yakerwa na Uholanzi kutambua Gaza, Quds kuwa asili ya Wapalestina
Feb 11, 2019 04:12Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa na hatua ya Uholanzi ya kuwapa Wapalestina wanaoishi nchini humo haki ya kuorodhesha Gaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Mashariki mwa Quds (Jerusalem) kama maeneo walikozaliwa.
-
Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran
Feb 09, 2019 21:46Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita Iran imeheshimu na kushikamana na misingi yake ya thamani ikiwemo kuiunga mkono Palestina.
-
Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza
Feb 09, 2019 04:17Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.
-
Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw
Feb 09, 2019 04:10Palestina imesema licha ya kupokea mwaliko, lakini haitahudhuria mkutano wa hapo tarehe 13 na 14 mwezi huu wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland, uliopewa anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina
Feb 08, 2019 11:30Waziri wa zamani wa Vita wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kuanzishwa tena siasa za mauaji dhidi ya viongozi na wanamapambano wa Kipalestina huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran
Feb 06, 2019 23:51Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndio sababu ya kushindwa endelevu kwa nchi hiyo mbele ya taifa la Iran kipindi cha kabla na baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
-
Wizara ya Elimu Palestina yaonya kuhusu kubadilishwa muundo wa masomo
Feb 02, 2019 22:00Wizara ya Elimu ya Juu ya Palestina imeonya kuhusiana na njama yoyote ile inayolenga kubadilishwa muhtawa wa masomo wa Wapalestina.
-
Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita
Feb 01, 2019 23:17Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 11 katika mwezi uliopita wa Januari.