Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Velayati: Kuunga mkono Palestina ni moja ya thamani za kimsingi za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Velayati: Kuunga mkono Palestina ni moja ya thamani za kimsingi za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 13, 2019 23:11

    Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa, kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina na Beitul-Muqaddas ni moja ya thamani za kimsingi, kiistratejia na malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Wapalestina wazitaka nchi za Kiarabu zisusie mkutano wa Poland

    Wapalestina wazitaka nchi za Kiarabu zisusie mkutano wa Poland

    Feb 12, 2019 10:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametoa mwito kwa nchi za Kiarabu kususia mkutano wa Poland, ulioitishwa na kufadhiliwa na Marekani.

  • Israel yakerwa na Uholanzi kutambua Gaza, Quds kuwa asili ya Wapalestina

    Israel yakerwa na Uholanzi kutambua Gaza, Quds kuwa asili ya Wapalestina

    Feb 11, 2019 04:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa na hatua ya Uholanzi ya kuwapa Wapalestina wanaoishi nchini humo haki ya kuorodhesha Gaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Mashariki mwa Quds (Jerusalem) kama maeneo walikozaliwa.

  • Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Feb 09, 2019 21:46

    Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita Iran imeheshimu na kushikamana na misingi yake ya thamani ikiwemo kuiunga mkono Palestina.

  • Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Feb 09, 2019 04:17

    Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.

  • Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Feb 09, 2019 04:10

    Palestina imesema licha ya kupokea mwaliko, lakini haitahudhuria mkutano wa hapo tarehe 13 na 14 mwezi huu wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland, uliopewa anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina

    Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina

    Feb 08, 2019 11:30

    Waziri wa zamani wa Vita wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kuanzishwa tena siasa za mauaji dhidi ya viongozi na wanamapambano wa Kipalestina huko katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran

    Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran

    Feb 06, 2019 23:51

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndio sababu ya kushindwa endelevu kwa nchi hiyo mbele ya taifa la Iran kipindi cha kabla na baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

  • Wizara ya Elimu Palestina yaonya kuhusu kubadilishwa muundo wa masomo

    Wizara ya Elimu Palestina yaonya kuhusu kubadilishwa muundo wa masomo

    Feb 02, 2019 22:00

    Wizara ya Elimu ya Juu ya Palestina imeonya kuhusiana na njama yoyote ile inayolenga kubadilishwa muhtawa wa masomo wa Wapalestina.

  • Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita

    Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita

    Feb 01, 2019 23:17

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 11 katika mwezi uliopita wa Januari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS