Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kuzinduliwa Ensaiklopidia kubwa kabisa ya historia ya Palestina kutauumbua utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kuzinduliwa Ensaiklopidia kubwa kabisa ya historia ya Palestina kutauumbua utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jan 26, 2019 10:44

    Ensiakolopidia kubwa kabisa kuhusu historia ya Palestina inayoashiria maisha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya watu wa Palestina kuanzia mwaka 1516 hadi mwaka 2018 imezinduliwa.

  • Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Jan 24, 2019 00:35

    Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani

    Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani

    Jan 23, 2019 04:12

    Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema Wapalestina hawataki msaada wowote kutoka kwa Marekani, baada ya Washington kutangaza kuwa itapunguza kiwango cha msaada wake wa kibinadamu kwa wananchi wa Palestina.

  • Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria

    Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria

    Jan 22, 2019 04:03

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina zimelaani mashambulizi mapya ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.

  • Palestina yakabidhiwa uenyekiti wa kundi la G77, Marekani yapinga

    Palestina yakabidhiwa uenyekiti wa kundi la G77, Marekani yapinga

    Jan 16, 2019 12:45

    Palestina imekabidhiwa uenyekiti wa kundi la nchi 77 yaani G-77 licha ya Marekani kupinga vikali uamuzi huo.

  • Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina

    Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina

    Jan 12, 2019 04:10

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limemuua shahidi kwa kumpiga risasi mwanamke wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Jan 11, 2019 23:24

    Katika kile kinachoonekana ni kushadidisha ukatili dhidi ya Wapalestina, utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kunyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya kilimo ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jan 11, 2019 00:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia tena Msikiti wa al-Aqswa wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • HAMAS: Mahmoud Abbas anatekeleza kifungu cha mpango wa Trump wa 'Muamala wa Karne'

    HAMAS: Mahmoud Abbas anatekeleza kifungu cha mpango wa Trump wa 'Muamala wa Karne'

    Jan 07, 2019 04:18

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa uamuzi wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina wa kuwaondoa askari na wafanyakazi wa mamlaka hiyo katika kivuko cha mpakani cha Rafah kwenye mpaka wa pamoja wa kusini mwa Ukanda wa Gaza na Misri.

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 04:47

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS