-
Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza
Feb 09, 2019 04:17Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.
-
Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw
Feb 09, 2019 04:10Palestina imesema licha ya kupokea mwaliko, lakini haitahudhuria mkutano wa hapo tarehe 13 na 14 mwezi huu wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland, uliopewa anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina
Feb 08, 2019 11:30Waziri wa zamani wa Vita wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kuanzishwa tena siasa za mauaji dhidi ya viongozi na wanamapambano wa Kipalestina huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran
Feb 06, 2019 23:51Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndio sababu ya kushindwa endelevu kwa nchi hiyo mbele ya taifa la Iran kipindi cha kabla na baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
-
Wizara ya Elimu Palestina yaonya kuhusu kubadilishwa muundo wa masomo
Feb 02, 2019 22:00Wizara ya Elimu ya Juu ya Palestina imeonya kuhusiana na njama yoyote ile inayolenga kubadilishwa muhtawa wa masomo wa Wapalestina.
-
Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita
Feb 01, 2019 23:17Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 11 katika mwezi uliopita wa Januari.
-
Kuzinduliwa Ensaiklopidia kubwa kabisa ya historia ya Palestina kutauumbua utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 26, 2019 10:44Ensiakolopidia kubwa kabisa kuhusu historia ya Palestina inayoashiria maisha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya watu wa Palestina kuanzia mwaka 1516 hadi mwaka 2018 imezinduliwa.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani
Jan 23, 2019 04:12Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema Wapalestina hawataki msaada wowote kutoka kwa Marekani, baada ya Washington kutangaza kuwa itapunguza kiwango cha msaada wake wa kibinadamu kwa wananchi wa Palestina.
-
Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria
Jan 22, 2019 04:03Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina zimelaani mashambulizi mapya ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.