Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Dec 23, 2018 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif amesema: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu na za msingi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Bunge la Palestina latupilia mbali uamuzi wa kulivunja uliotolewa na mahakama

    Bunge la Palestina latupilia mbali uamuzi wa kulivunja uliotolewa na mahakama

    Dec 23, 2018 11:51

    Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesisitiza kuwa bunge hilo linapinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya katiba ya serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuamuru bunge hilo livunjwe.

  • Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Dec 23, 2018 03:47

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali mpango wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahoud Abbas wa kulivunja Bunge, ikisisitiza kuwa kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha migawanyiko miongoni mwa makundi ya Palestina.

  • Larijani: Walimwengu wajulishwe kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Larijani: Walimwengu wajulishwe kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Dec 22, 2018 21:40

    Ali Larijani Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema kuna haja ya kuwafahamisha walimwengu kuwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ndio sababu ya kuunga mkono malengo matukufu ya Wapalestina.

  • Wanajeshi wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina

    Wanajeshi wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina

    Dec 20, 2018 01:13

    Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina katika mwaka huu wa 2018 unaomalizika.

  • Palestina yazitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na Australia

    Palestina yazitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na Australia

    Dec 19, 2018 11:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa msaada wa dola milioni 10 iliyopatiwa na Australia na kuzitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na nchi hiyo kutokana na uamuzi wake wa kuitambua Quds kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Palestina inahitaji dola milioni 350 za misaada ya kibinadamu: OCHA

    Palestina inahitaji dola milioni 350 za misaada ya kibinadamu: OCHA

    Dec 18, 2018 03:25

    Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Isarel wanahitaji msaada wa dola milioni 350 mwaka 2019 kwa ajili ya huduma za kimsingi kama chakula, ulinzi, huduma za afya, malazi, maji na usafi.

  • PLO yawataka Wapalestina kupambana na wanajeshi wa Israel

    PLO yawataka Wapalestina kupambana na wanajeshi wa Israel

    Dec 14, 2018 00:53

    Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO kimewataka wananchi wa Palestina kutokubali kudhalilishwa na wasimame imara kupambana na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Dec 13, 2018 10:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewaangamiza Wazayuni wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, chini ya masaa 24 baada ya jeshi katili la Israel kuwaua shahidi Wapalestina watatu, wakiwamo wanachama wawili wa harakati hiyo ya Muqawama.

  • Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Dec 11, 2018 03:18

    Aliyekuwa mshauri mwandamizi wa Yasser Arafat, Rais wa zamani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefichua kuwa kiongozi huyo wa zamani wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) hakufa kifo cha kawaida baada kuugua, bali aliuawa, na kwamba Saudi Arabia ndiyo iliyoidhinisha mauaji yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS