Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Oct 21, 2018 11:03

    Kwa mara nyingine tena utawala haramu wa Israel umetuhumiwa kuiba viungo vya miili ya watoto wa Kipalestina.

  • Katibu Mkuu wa zamani wa Arab League: Kadhia ya Palestina haiwezi kuzimwa

    Katibu Mkuu wa zamani wa Arab League: Kadhia ya Palestina haiwezi kuzimwa

    Oct 20, 2018 23:06

    Katibu Mkuu wa zamani wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina haiwezi kufutika kamwe na kwamba ni jambo lisiloyumkinika kabisa kuwahamishia Wapalestina katika jangwa la Sinai.

  • 'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    Oct 19, 2018 21:39

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni unahaha hivi sasa kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon na hauthubutu kuanzisha vita vingine.

  • Arab League yaitaka jamii ya kimataifa iisaidie Palestina

    Arab League yaitaka jamii ya kimataifa iisaidie Palestina

    Oct 14, 2018 03:34

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani kushtadi wimbi la mauaji na jinai za kutisha dhidi ya Wapalestina zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikiitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kukabiliana na jinai hizo.

  • Israel yaazimia kuwabana zaidi wafungwa wa Kipalestina

    Israel yaazimia kuwabana zaidi wafungwa wa Kipalestina

    Oct 12, 2018 04:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unatazamiwa kushadidisha mateso na kuwawekea mbinyo zaidi wafungwa wa Kipalestina unaowazuilia katika jela zake za kuogofya.

  • Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Oct 06, 2018 11:43

    Mufti Mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa ushindi wa Syria dhidi ya ugaidi ni ushindi wa Palestina.

  • Naibu Waziri wa zamani wa US: Serikali ya Trump haitaki mkataba wowote wa kimataifa

    Naibu Waziri wa zamani wa US: Serikali ya Trump haitaki mkataba wowote wa kimataifa

    Oct 04, 2018 03:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani Wendy Sherman amekosoa hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kujitoa kwenye Mkataba wa Uhusiano Mwema wa mwaka 1955 iliyosaini baina yake na Iran na kueleza kwamba si kitu cha ajabu kwa serikali isiyopenda kuheshimu makubaliano yoyote ya kimataifa kuchukua hatua hiyo.

  • Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Sep 30, 2018 23:09

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa mno na hatua ya klabu mashuhuri ya soka ya Uhispania ya Real Madrid kumuenzi kwa kumtunuku jezi nambari 9 Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina.

  • Hatua ya Wapalestina kuishitaki Marekani katika Mahakama ya Uadilifu ya The Hague

    Hatua ya Wapalestina kuishitaki Marekani katika Mahakama ya Uadilifu ya The Hague

    Sep 30, 2018 23:06

    Kwa mujibu wa tangazo la Mahakama ya Uadilifu ya The Hague yenye makao yake nchini Uholanzi, serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, sambamba na kuashiria hatua ya Marekani ya kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, Israel kwenda Quds inayokaliwa kwa mabavu, imeishitaki Washington katika mahakama hiyo.

  • Palestina yaishtaki Marekani ICJ kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Palestina yaishtaki Marekani ICJ kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Sep 29, 2018 04:47

    Palestina imewasilisha faili la malalamiko dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), ikitaka kuangaliwa upya hatua ya Washington ya kuuhamishia ubalozi wake wa Israel katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS