Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Siku ya saba ya uvamizi wa Israel wa Ghaza; makumi wauawa na kujeruhiwa

    Siku ya saba ya uvamizi wa Israel wa Ghaza; makumi wauawa na kujeruhiwa

    Mar 24, 2025 07:21

    Utawala wa wa Kizayuni wa Israel Israel unaendelea kufanya jinai na mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Ghaza ambapo tangu asubuhi ya leo hadi wakati tunaandaa taarifa hii, makumi ya Wapalestina wamekuwa wameshauwa shahidi na kujeruhiwa, leo ikiwa ni siku ya saba ya tangu kuanza wimbi jipya la jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

  • Israel yapigwa na makombora kutoka Yemen, ving'ora vyahanikiza

    Israel yapigwa na makombora kutoka Yemen, ving'ora vyahanikiza

    Mar 23, 2025 07:21

    Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimevurumisha makombora kuelekea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel, na kuwatia kiwewe na hofu Wazayuni; huku safari za ndege zikisimamishwa Tel Aviv.

  • Rais wa Mexico ampokea rasmi balozi mpya wa Palestina

    Rais wa Mexico ampokea rasmi balozi mpya wa Palestina

    Mar 22, 2025 23:17

    Rais wa Mexico, Claudia Sheinbaum amepokea rasmi hati za utambulisho za Balozi wa Palestina Nadya R. H. Rasheed katika Ikulu ya Mexico City.

  • Netanyahu: Mashambulio yalioua watoto 174 Gaza ni mwanzo tu

    Netanyahu: Mashambulio yalioua watoto 174 Gaza ni mwanzo tu

    Mar 19, 2025 23:40

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ametangaza kushadidi mashambulio mabaya dhidi ya Gaza, akionya kwamba mashambulizi ya hivi karibuni ya anga, ambayo yaliua watoto wasiopungua 174 katika ukanda huo, ni mwanzo tu wa uchokozi mkubwa zaidi dhidi ya Wapalestina.

  • Iran yakosoa vikali uingiliaji wa nchi za Magharibi katika kazi za Baraza la Haki za Kibinadamu UN

    Iran yakosoa vikali uingiliaji wa nchi za Magharibi katika kazi za Baraza la Haki za Kibinadamu UN

    Mar 19, 2025 00:45

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amezikosoa vikali baadhi ya nchi za Magharibi kwa kutumia vibaya taasisi za Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, nchi hizo zinataka kuingiza siasa katika masuala ya haki za binadamu dhidi ya Iran kwa kupuuza masuala ya kimsingi ya haki za binadamu ukiwemo mgogoro wa Palestina.

  • Mwakilishi wa Palestina UN: Israel inaendeleza sera za mauaji ya kimbari

    Mwakilishi wa Palestina UN: Israel inaendeleza sera za mauaji ya kimbari

    Mar 15, 2025 23:19

    Mwakilishi wa Kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametuma barua kwa maafisa wa kimataifa akikemea jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Paletina.

  • Hamas yalaani marufuku ya pamoja ya US na EU dhidi ya al Aqsa TV

    Hamas yalaani marufuku ya pamoja ya US na EU dhidi ya al Aqsa TV

    Mar 15, 2025 11:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi uliochukuliwa na Marekani na Umoja wa Ulaya wa kupiga marufuku matangazo ya televisheni ya al Aqsa.

  • Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Mar 13, 2025 23:00

    Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya mahakama ya Manhattan jijini New York nchini Marekani, wakitaka mwanaharakati wa Kipalestina, Mahmoud Khalil aachiliwe huru.

  • Ripoti: Israel inawaua Wapalestina 3 huko Gaza kila baada ya saa 24

    Ripoti: Israel inawaua Wapalestina 3 huko Gaza kila baada ya saa 24

    Mar 13, 2025 04:08

    Israel imewaua Wapalestina 150 kwa kutumia ndege zisizo na rubani, wadunguaji au njaa kama silaha tangu ilipofikia makubaliano ya kusimamisha mapigano na Harakati ya Mapambano ya Palestina Hamas Januari 19 mwaka huu.

  • Wanawake wa Palestina wanalishwa futari zilizooza kwenye jela za Israel

    Wanawake wa Palestina wanalishwa futari zilizooza kwenye jela za Israel

    Mar 11, 2025 08:05

    Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa kidhulma katika jela za Israel ikiwemo ile jela ya Damon wanaishi katika mateso makubwa yasiyoelezeka hasa ndani ya mwezi huu mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kula vyakula vilivyooza wakati wa futari na kutangaziwa nyakati sizo za wakati wa daku na futari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS