-
Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa makundi ya al Qaida na Daesh huko Yemen
Jul 12, 2017 03:47Qatar imefichua nyaraka zinazoonyesha kuwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zinawasaidia magaidi wa al Qaida na Daesh huko Yemen.
-
Wapalestina wapongeza hatua ya Afrika Kusini kupunguza uhusiano na Israel
Jul 09, 2017 09:34Wapalestina wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa chama tawala cha Afrika Kusini ANC, ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mafanikio ya Wapalestina katika uga wa kimataifa
Jul 08, 2017 22:10Hatua ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ya kuuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim AS katika orodha ya turathi za dunia zilizoko kwenye hatari ya kuangamia, inaonesha kuendelea kupata Wapalesstina ushindi wa kimataifa wa kidiplomasia.
-
Hamas yataka Israel ishinikizwe ili iheshimu haki za Wapalestina
Jul 07, 2017 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito wa kubanwa na kushinikizwa utawala haramu wa Israel ili uheshimu haki za wananchi madhulumu wa Palestina.
-
HAMAS: Uhusiano wetu na Iran ni imara
Jul 05, 2017 03:41Kiongozi mmoja muhimu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo daima itaendelea kuishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa taifa la Palestina bila ya kutarajia malipo yoyote kutoka kwao.
-
Osama Hamdan: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia
Jun 30, 2017 23:03Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina itapatiwa ufumbuzi tu kwa kusambaratishwa na kuangamizwa adui Mzayuni.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Wajibu wa kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 26, 2017 09:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo amehutubia Baraza la Iddil Fitri lililowakutanisha pamoja viongozi, matabaka mbalimbali ya wananchi na mabalozi wa nchi za Kiislamu mjini Tehran na akisisitiza kuwa kupuuza na kulisahaulisha suala la Palestina ni hatari kubwa.
-
Hali ya Palestina katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 23, 2017 03:21Leo tarehe 23 Juni inayosadifiana na Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo ilitangazwa na mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayati Imam Ruhullah Khomeini kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Kesho Ijumaa ni Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 21, 2017 23:51Mamilioni ya wapenda haki kote duniani kesho watajitokeza katika pembe mbalimbali za ulimwengu kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yenye lengo la kutangaza himaya na uungaji mkono kwa taifa madhulumu la Palestina.
-
Kiongozi: Kupambana na utawala wa Kizayuni ni kupambana na ubeberu na uistikbari
Jun 21, 2017 23:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa yenye umuhimu mkubwa na kuongeza kuwa: "Siku hii mbali na kuwa ni siku ya kuunga mkono taifa lililodhulumiwa pia ni nembo ya kupambana na uistikbari na ubeberu duniani."