-
Indhari ya Wapalestina kuhusiana na kuendelea njama dhidi ya Masjidul-Aqswa
Aug 22, 2017 07:32Kushtadi njama za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni ambazo zimesadifiana na kumbukumbu ya kuchomwa moto msikiti huo na Wazayuni maghasibu kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa miongoni mwa Wapalestina na fikra za waliowengi ulimwenguni.
-
Mfalme wa Jordan asisitiza ulazima wa kuungwa mkono harakati ya kuikomboa Baitul-Muqaddas
Aug 17, 2017 10:03Mfalme Abdullah II bin al-Hussein wa Jordan amesisitiza juu ya udharura wa kuongezwa uratibu na ushirikiano na Wapalestina kwa shabaha ya kusukuma mbele juhudi na harakati za kuukomboa mji wa Baitul-Muqaddas na maeneo mengine ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina
Aug 11, 2017 21:53Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.
-
Abbas azidi kuwabinya Wapalestina, akata mitandao ya kijamii
Aug 11, 2017 03:10Katika hatua inayoonekana ni ya kuzidi kuwawekea mbinyo Wapalestina, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amepasisha dikrii ya kutaka kufungwa mara moja mitandao ya kijamii na tovuti za habari katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2017 02:50Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.
-
Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina
Aug 07, 2017 02:38Mjumbe mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kushirikiana na watu wote wanaofanya juhudi za kutaka kukombolewa Palestina kutoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.
-
Zarif: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel
Aug 01, 2017 22:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa inalazimika kukomesha utamaduni wa kutouadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha utawala huo usitishe kabisa uhalifu na jinai zake dhidi ya watu wa Palestina.
-
Ayatullah Araki: Hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa hazitaachwa bila majibu
Jul 29, 2017 09:18Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina na Msikiti wa al-Aqswa ni hujuma dhidi ya ubinadamu na kwamba, mashambulio hayo hayatabikia hivi hivi bila majibu.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU: Quds ya Mashariki haitenganishiki na Palestina
Jul 29, 2017 03:22Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema Baitul Muqaddas Mashariki ni sehemu isiyotenganishika na Palestina.
-
Balozi wa Palestina Tehran: Mapambano ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni wa Israel yanaendelea
Jul 26, 2017 09:14Balozi wa Palestina mjini Tehran amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel yataendelea hadi pale utawala huo haramu utakapoangamizwa na kufutwa katika ramani ya dunia.