Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Waislamu kote duniani watakiwa kushiriki kwa wingi Siku ya Kimataifa ya Quds

    Waislamu kote duniani watakiwa kushiriki kwa wingi Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 20, 2017 03:31

    Mjumbe wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kushiriki kwa wingi katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa ijayo.

  • Israel yatengua haki ya Wapalestina kutembeleana Ramadhani

    Israel yatengua haki ya Wapalestina kutembeleana Ramadhani

    Jun 18, 2017 09:51

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametangaza kubatilisha 'haki' ya Wapalestina kutembeleana katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani kufuatia mauaji ya mwanajeshi wa kike wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Jihad Islami: Baadhi ya Waarabu wanafanya njama dhidi ya Quds tukufu

    Jihad Islami: Baadhi ya Waarabu wanafanya njama dhidi ya Quds tukufu

    Jun 15, 2017 23:53

    Msemaji wa harakati ya Jihad Islamu ya Palestina amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Qud mwaka huu inaadhimishwa huku mji huo mtukufu ukiwa katika hali mbaya sana na baadhi ya nchi za Kiarabu zikifanya njama dhidi ya eneo hilo.

  • UN yalaani Israel kuwazimia umeme Wapalestina  Ghaza

    UN yalaani Israel kuwazimia umeme Wapalestina Ghaza

    Jun 15, 2017 02:55

    Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuwazimia kwa muda mrefu umeme Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    Jun 13, 2017 09:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuunga mkono shirika la umoja huo linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutoa wito wa kuvunjwa taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Jun 11, 2017 22:53

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), linalowasaidia mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina.

  • Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Jun 11, 2017 09:36

    Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Jun 10, 2017 23:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga wito uliotolewa na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu la kutaka kujua hatima ya askari wawili wa Kizayuni waliotoweka katika enro la Ukanda wa Gaza.

  • Palestina yataka Arab League iitishe kikao cha dharura kujadili ushawishi wa Israel Afrika

    Palestina yataka Arab League iitishe kikao cha dharura kujadili ushawishi wa Israel Afrika

    Jun 07, 2017 21:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) iitishe kikao cha dharura kujadili kuenea satua na ushawishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika bara la Afrika.

  • Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jun 07, 2017 06:10

    Danny Danon Balozi wa Utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa amekosoa vikali matamshi ya katibu mkuu wa umoja huo Antonio Gutterres ambaye ameunga mkono uundwaji nchi huru ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS