-
HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina
Jun 05, 2017 09:52Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali jinai, ukandamizaji, ubaguzi na ukaliwaji wa mabavu wa ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miongo mitano sasa.
-
Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina
Jun 01, 2017 09:55Wizara ya Habari ya Palestina imesema, watoto zaidi ya elfu tatu wa Kipalestina wameuliwa shahidi na jeshi katili la Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwezi Septemba 2000.
-
Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina
May 28, 2017 09:09Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Ubomozi wa vituo vya afya na tiba Palestina na Yemen; sera za pamoja za Israel na Saudia
May 26, 2017 22:16Huku akiashiria mashambulio yanayolenga vituo vya afya na tiba na kisha kutolewa vijisababu kuwa yalifanyika kimakosa, mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kwa mtazamo wa Iran, mashambulio hayo yanapaswa kulaaniwa kila sehemu yanapofanyika na hasa katika nchi za Palestina, Yemen na Syria.
-
Wazayuni wamuua shahidi Mpalestina mwingine
May 26, 2017 03:09Mpalestina mwingine amekufa shahidi siku chache baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kujeruhiwa vibaya.
-
Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina
May 25, 2017 09:39Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv haihitaji baraka wala ruhusu ya Marekani ili kuendeleza ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina
May 25, 2017 09:21Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mateka wa Kipalestina waliosusia chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mateka 60 wa Kipalestina waliogoma kula wahamishiwa hospitalini
May 25, 2017 03:21Mateka wasiopungua 60 wa Kipalestina miongoni mwa maelfu ya wafungwa hao waliosusia kula chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamehamishiwa hospitalini baada ya hali zao kuzidi kuwa mbaya.
-
Mahmoud Abbas: Ukaliaji ardhi wa mabavu na ujenzi wa vitongoji ndilo tatizo kuu la Wapalestina
May 23, 2017 11:24Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, tatizo kuu la Wapalestina ni ukaliaji wa mabavu na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel katika ardhi za Palestina.
-
Ayatullah Araki asisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi za Kiislamu
May 17, 2017 23:05Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, nchi za Shirikisho la Urusi zinaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla katika kukuza uhusiano wa nchi za Kiislamu na vilevile kuinua kiwango chao cha nafasi ya kisiasa na kiuchumi duniani.