Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 05, 2017 09:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali jinai, ukandamizaji, ubaguzi na ukaliwaji wa mabavu wa ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miongo mitano sasa.

  • Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Jun 01, 2017 09:55

    Wizara ya Habari ya Palestina imesema, watoto zaidi ya elfu tatu wa Kipalestina wameuliwa shahidi na jeshi katili la Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwezi Septemba 2000.

  • Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    May 28, 2017 09:09

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Ubomozi wa vituo vya afya na tiba Palestina na Yemen; sera za pamoja za Israel na Saudia

    Ubomozi wa vituo vya afya na tiba Palestina na Yemen; sera za pamoja za Israel na Saudia

    May 26, 2017 22:16

    Huku akiashiria mashambulio yanayolenga vituo vya afya na tiba na kisha kutolewa vijisababu kuwa yalifanyika kimakosa, mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kwa mtazamo wa Iran, mashambulio hayo yanapaswa kulaaniwa kila sehemu yanapofanyika na hasa katika nchi za Palestina, Yemen na Syria.

  • Wazayuni wamuua shahidi Mpalestina mwingine

    Wazayuni wamuua shahidi Mpalestina mwingine

    May 26, 2017 03:09

    Mpalestina mwingine amekufa shahidi siku chache baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kujeruhiwa vibaya.

  • Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    May 25, 2017 09:39

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv haihitaji baraka wala ruhusu ya Marekani ili kuendeleza ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    May 25, 2017 09:21

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mateka wa Kipalestina waliosusia chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mateka 60 wa Kipalestina waliogoma kula wahamishiwa hospitalini

    Mateka 60 wa Kipalestina waliogoma kula wahamishiwa hospitalini

    May 25, 2017 03:21

    Mateka wasiopungua 60 wa Kipalestina miongoni mwa maelfu ya wafungwa hao waliosusia kula chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamehamishiwa hospitalini baada ya hali zao kuzidi kuwa mbaya.

  • Mahmoud Abbas: Ukaliaji ardhi wa mabavu na ujenzi wa vitongoji ndilo tatizo kuu la Wapalestina

    Mahmoud Abbas: Ukaliaji ardhi wa mabavu na ujenzi wa vitongoji ndilo tatizo kuu la Wapalestina

    May 23, 2017 11:24

    Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, tatizo kuu la Wapalestina ni ukaliaji wa mabavu na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel katika ardhi za Palestina.

  • Ayatullah Araki asisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi za Kiislamu

    Ayatullah Araki asisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi za Kiislamu

    May 17, 2017 23:05

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, nchi za Shirikisho la Urusi zinaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla katika kukuza uhusiano wa nchi za Kiislamu na vilevile kuinua kiwango chao cha nafasi ya kisiasa na kiuchumi duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS