Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    May 16, 2017 23:09

    Chama cha Leba cha Uingereza kimesema kitaitambua Palestina iwapo kitaibuka mshindi katika uchaguzi wa Juni 8 nchini humo.

  • Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    May 15, 2017 09:40

    Makamu wa rais wa Afrika Kusini na mawaziri wengine nchini humo wamesusia chakula kama njia ya kuonyesha kufungamana kwao na Wapalestina waliogoma kula katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ulimwengu Wachukizwa na Utawala wa Kizayuni katika Siku ya Nakba

    Ulimwengu Wachukizwa na Utawala wa Kizayuni katika Siku ya Nakba

    May 14, 2017 02:59

    Huku dunia ikikaribia kukumbuka mwaka wa 69 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina na baada ya hapo kuasisiwa utawala bandia wa Israel, siku ambayo Wapalestina wanaitaja kuwa siku ya Nakba yaani nakama au maafa, walimwengu wanashuhudia wimbi jipya la kimataifa la kuchikizwa na utawala wa Kizayuni na ongezeko la uungaji mkono kwa Wapalestina.

  • Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    May 14, 2017 02:44

    Wapalestina kote duniani wanaadhimisha Siku ya Nakba hii leo, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 69 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.

  • Wafanyakazi wa Norway wasusia bidhaa za utawala wa Israel

    Wafanyakazi wa Norway wasusia bidhaa za utawala wa Israel

    May 13, 2017 09:05

    Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Norway imetangaza kususia bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kulalamikia ukandamizaji unaofanya na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Hania asifu juhudi za mateka wa Kipalestina za kukomboa Palestina

    Hania asifu juhudi za mateka wa Kipalestina za kukomboa Palestina

    May 13, 2017 02:56

    Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesifu juhudi za mateka wa Kipalestina za kukomboa ardhi za Palestina na kusisitiza kwamba, kamwe Hamas na wananchi wa taifa hilo madhulumu hawatawasahau.

  • Putin: Uhusiano na Palestina ni muhimu kwa Russia

    Putin: Uhusiano na Palestina ni muhimu kwa Russia

    May 11, 2017 22:41

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonana na Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kusema kuwa, nchi yake inalipa umuhimu suala la kuimarisha uhusiano wake na Palestina.

  • Makumi ya Wasudan watangaza himaya yao kwa mateka wa Palestina

    Makumi ya Wasudan watangaza himaya yao kwa mateka wa Palestina

    May 11, 2017 02:52

    Makumi ya wananchi wa Sudan wameandamana na kukusanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina.

  • Iran yajadidisha uungaji mkono wake kwa Palestina katika ujumbe kwa Haniya

    Iran yajadidisha uungaji mkono wake kwa Palestina katika ujumbe kwa Haniya

    May 10, 2017 03:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Ismail Haniya kwa kuteuliwa kuwa Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    Jeshi la Israel laua shahidi binti wa Kipalestina wa miaka 16

    May 08, 2017 02:30

    Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina mashariki mwa Quds Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS