Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Askofu Mkuu wa Kikatoliki ajiunga na mgomo wa kula kuwatetea Wapalestina

    Askofu Mkuu wa Kikatoliki ajiunga na mgomo wa kula kuwatetea Wapalestina

    May 07, 2017 03:25

    Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Kanisa Katoliki ameamua kususia kula chakula ili kuonyesha mshikamano na uungaji mkono wake kwa Wapalestina waliosusia kula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 08:52

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel

    Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel

    May 05, 2017 02:45

    Balozi wa Misri katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League, ametangaza mshikamano na wafungwa wa Kipalestina waliogoma kula katika jela za utawala katili wa Kizayuni wa Israel.

  • Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    May 04, 2017 03:04

    Wanaharakati, wafungwa wa kisiasa na wananchi wengine wa Afrika Kusini wamesusia kula chakula kuonyesha uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina waliosusia kula tangu Aprili 17 wakiwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Khalid Mash'al asisitizia kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya Israel

    Khalid Mash'al asisitizia kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya Israel

    May 03, 2017 21:51

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, mapambano na muqawama wa wananchi wa Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea madhali kuna uvamizi na kunaendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina.

  • Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    May 03, 2017 02:31

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya nchi za Kiarabu kufumbia macho masaibu yanayowakabili mamia ya wafungwa wa Palestina ambao kwa sasa wamesusia kula chakula katika jela za utawala haramu wa Israel.

  • Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    May 02, 2017 23:15

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandaamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Rabat, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Israel yaanza tena ujenzi wa ukuta wa kibaguzi Ukingo wa Magharibi

    Israel yaanza tena ujenzi wa ukuta wa kibaguzi Ukingo wa Magharibi

    Apr 30, 2017 03:08

    Utawala haramu wa Israel umeanza tena ujenzi tata wa ukuta wa kibaguzi unaotenganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Beit Lahm.

  • Wapalestina wa Gaza wasusia kula kuwaunga mkono wafungwa wa Kipalestina

    Wapalestina wa Gaza wasusia kula kuwaunga mkono wafungwa wa Kipalestina

    Apr 28, 2017 03:22

    Wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza wamesusia kula chakula ili kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Arab League yautaka Msalaba Mwekundu kutetea wafungwa wa Palestina

    Arab League yautaka Msalaba Mwekundu kutetea wafungwa wa Palestina

    Apr 27, 2017 03:44

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelitaka shirika la Msalama Mwekundu kuwaunga mkono na kusimama na wafungwa wa Palestina sambamba na kusaidia kukomeshwa jinai dhidi yao wanazofanyiwa na utawala haramu wa Israe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS