-
Nchi za Kiislamu zatakiwa kuwaunga mkono wafungwa wa Palestina
Apr 26, 2017 22:16Balozi wa Palestina mjini Tehran amesema Palestina itaweza kusaidika iwapo kutakuwa na umoja katika ulimwengu wa Kiislamu huku akitoa wito kwa nchi za Kiislamu kuwaunga mkono wafungwa wa Palestina.
-
Marwan Al-Barghuthi ayaandikia barua mabunge ya dunia kuomba uungaji mkono kwa wafungwa wa Palestina
Apr 25, 2017 22:02Marwan Al-Barghuthi, Mpalestina anayesusia kula ambaye anashikiliwa kwenye gereza la utawala wa Kizayuni wa Israel ameyaandikia barua mabunge ya dunia akiyaomba yawaunge mkono Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala huo haramu.
-
Wazayuni waendelea kuwanyanyasa Wapalestina
Apr 18, 2017 03:40Wimbi la unyanyasaji dhidi ya viongozi wa mateka wa Kipalestina katika jela za kutisha za Israel limeendelea kwa wanajeshi wa utawala huo dhalimu kuwahamishia mateka wa Palestina wanaogoma kula katika jela ya kuogofya ya Jalama ya Kizayuni.
-
Wapalestina 400 wakamatwa kwa kutumia Facebook kupinga Israel
Apr 16, 2017 22:24Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakamata Wapalestina 400 kwa sababu ya kuandika maneno yaliyo dhidi ya utawala huo katika mtandao wa kijamii wa Facebook.
-
Israel iliteka nyara Wapalestina 500 mwezi Machi
Apr 11, 2017 02:01Utawala wa Kizayuni wa Israel uliwateka nyara Wapalestina 509 katika Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi na Quds Tukufu mwezi uliopita wa Machi.
-
Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina
Apr 08, 2017 22:10Jumuiya ya Wafanyakazi nchini Norway imetoa wito wa katambulwia rasmi nchi huru ya Palestina.
-
Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi
Apr 05, 2017 03:17Brazil imelaani uamuzi uliopasishwa hivi karibuni na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv
Apr 04, 2017 11:21Katika hali ambayo Marekani imezungumzia mpango wa kuhamishia ubalozi wake ulioko Israel kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds tukufu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Umoja wa Ulaya umesema nchi wanachama wake hazitofuata sera hizo za Washington.
-
UN: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za dhati kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina
Apr 03, 2017 09:33Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua nyingi zaidi mbali ya maazimio na kutoa taarifa tu ili kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Hati mpya ya Kisiasa ya HAMAS: Wakimbizi wa Kipalestina warejee kwenye ardhi zao za asili
Apr 03, 2017 03:14Baadhi ya vifungu vya hati mpya ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS vimetangazwa vikisisitizia haki ya wakimbizi wote wa Kipalestina walioko maeneo tofauti duniani kurejea kwenye ardhi zao za asili.