Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kujali zaidi kadhia ya Palestina

    Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kujali zaidi kadhia ya Palestina

    Feb 15, 2016 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ana matumaini kwamba, nchi za Kiislamu zitafikia maelewano kwa ajili ya kulipa umuhimu mkubwa zaidi suala asili la ulimwengu wa Kiislamu yaani kadhia ya kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Wanahabari Waislamu waungana na mwandishi mateka wa Mpalestina

    Wanahabari Waislamu waungana na mwandishi mateka wa Mpalestina

    Feb 13, 2016 22:26

    Jumuiya ya Waandishi Habari Waislamu imetangaza mshikamano wake na mwandishi habari mateka wa Palestina anayeshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel, Muhammad al Qiq.

  • HAMAS: Iran ndiye muungaji mkono wa kweli wa muqawama na taifa la Palestina

    HAMAS: Iran ndiye muungaji mkono wa kweli wa muqawama na taifa la Palestina

    Feb 13, 2016 04:42

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, hakuna nchi yoyote ya Kiarabu au ya Kiislamu ambayo hadi hivi sasa imeweza kuifikia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono muqawama na taifa linalodhulumiwa la Palestina.

  • Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Israel yatiwa kiwewe na msimamo wa UN kuwatetea Wapalestina

    Feb 09, 2016 11:24

    Utawala wa kizayuni wa Israel umetiwa kiwewe na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuwatetea Wapalestina ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Wazayuni maghasibu.

  • Mashauriano baina ya Fat'h na Hamas ya kufikia maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Mashauriano baina ya Fat'h na Hamas ya kufikia maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Feb 08, 2016 03:44

    Wakati mashauriano yanaendelea baina ya harakati za Hamas na Fat'h kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina, wawakilishi wa Fat'h kwenye vikao vya mashauriano wametoa masharti mapya kwa ajili ya kufikiwa maridhiano hayo ambayo yamekabiliwa na radiamali ya harakati ya Hamas.

  • Hamas yataka kuungwa mkono Muhammad al Qiq

    Hamas yataka kuungwa mkono Muhammad al Qiq

    Feb 07, 2016 04:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewatolea mwito wananchi wa Palestina kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kumuunga mkono mwandishi habari wa Kipalestina aliyeko katika jela ya Israel huku akiwa amegoma kula.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS