Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Feb 14, 2024 04:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.

  • Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Feb 14, 2024 04:04

    Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Ripota Maalumu wa UN aikosoa Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina

    Ripota Maalumu wa UN aikosoa Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina

    Feb 13, 2024 09:07

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ameishambulia vikali Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Taasisi ya utafiti Ujerumani yamfuta kazi profesa kwa kuitetea Palestina

    Taasisi ya utafiti Ujerumani yamfuta kazi profesa kwa kuitetea Palestina

    Feb 12, 2024 01:08

    Taasisi moja mashuhuri ya utafiti nchini Ujerumani imempiga kalamu nyekundu profesa wa anthropolojia anayeiunga mkono Palestina, baada ya msomi huyo kukosoa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi na kutetea haki za binadamu

    Raisi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi na kutetea haki za binadamu

    Feb 11, 2024 08:42

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ndiyo kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi na kutetea haki za binadamu.

  • Iran yaonya kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za Israel

    Iran yaonya kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za Israel

    Feb 09, 2024 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya vikali Marekani dhidi ya kuendelea kuiunga mkono Israel na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.

  • Mkutano wa mawaziri wa Kiarabu Riyadh wataka kuhitimishwa vita vya Gaza

    Mkutano wa mawaziri wa Kiarabu Riyadh wataka kuhitimishwa vita vya Gaza

    Feb 09, 2024 09:04

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa matano ya Kiarabu walmekutana Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia na kuutoa mwito wa kusitishwa vita huko Gaza.

  • Nicaragua yazishtaki ICJ Ujerumani, UK, Uholanzi na Canada kwa kuisaidia Israel katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina

    Nicaragua yazishtaki ICJ Ujerumani, UK, Uholanzi na Canada kwa kuisaidia Israel katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina

    Feb 07, 2024 00:19

    Serikali ya Nicaragua imezishitaki Ujerumani, Uingereza, Uholanzi na Canada katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ kwa kuunga mkono utawala wa Kizayuni katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina.

  • Israel yaua watoto wa chekechea katika shambulio la anga Gaza

    Israel yaua watoto wa chekechea katika shambulio la anga Gaza

    Feb 04, 2024 07:48

    Kwa akali watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya shule moja ya chekechea katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Iran yalaani Magharibi kuisimamishia UNRWA misaada

    Iran yalaani Magharibi kuisimamishia UNRWA misaada

    Feb 03, 2024 04:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua 'chungu' ya Wamagharibi ya kulisimamishia misaada Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS