-
Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo
Mar 13, 2023 22:38Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amesisitiza namna hitilafu na migawanyiko inayoikabili Israel sasa inavyodhihirisha kwa walimwengu kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo ghasibu na kueleza kuwa muqawama wa Palestina unaweza kustafidi na fursa ya mfarakano huu unaoukabili utawala wa Kizayuni.
-
Wapalestina wengine 3 wauawa shahidi Ukingo wa Magharibi
Mar 12, 2023 06:18Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameendeleza jinai zao za umwagaji damu kwa kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika mji wa Nablus katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Viongozi wa HAMAS: Tuko mstari wa mbele katika mapambano ya Ukingo wa Magharibi na Quds
Mar 11, 2023 23:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imefanya mkusanyiko huko Beit Lahya kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuunga mkono msikiti wa al-Aqswa, mateka wa Kipalestina na muqawama wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin
Mar 08, 2023 06:23Kundi la Muqawama wa Kiislamu la Arin al Usud (Pango la Simba) limesema litalipiza kisasi cha mauaji ya kikatili ya Wapalestina katika mji wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mash'al: Kuanzisha uhusiano na Israel umeisababishia Palestina dhiki
Mar 05, 2023 07:28Kiongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi ameyakosoa baadhi ya madola ya Kiarabu kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel na kusisitiza kuwa, ushirikiano na utawala huo wa Kizayuni haujakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuwasababishia Wapalestina dhiki na matatizo.
-
Rais wa Baraza la Usalama UN akwepa kujibu suali kuhusu Palestina na Ukraine
Mar 03, 2023 04:14Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amekataa kujibu suali aliloulizwa kuhusu Palestina na Ukraine.
-
"Mkutano wa Aqaba unaipa Israel kibali cha kushadidisha jinai dhidi ya Wapalestina"
Feb 27, 2023 06:13Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameashiria mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa, kikao hicho cha Aqaba kinalenga kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel ridhaa ya kushadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina.
-
Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan
Feb 26, 2023 23:01Maelfu ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kulalamikia mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan, siku chache baada ya jeshi katili la Israel kufanya mashambulizi ya umwagaji damu huko Jenin.
-
Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika
Feb 26, 2023 09:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuhusu kufukuzwa ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa viongozi wa nchi za Afrika uliofanyika Addis Ababa huko Ethiopia kuwa utawala wa Kizayuni umetenda jinai nyingi dhidi ya Palestina na suala hilo ni kinyume na hati ya Umoja wa Afrika.
-
Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami: Damu ya Mashahidi itailetea ushindi Palestina
Feb 25, 2023 03:39Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amepongeza mchango wa kijihadi wa Mashahidi wa ardhi hiyo katika kukabiliana na adui Mzayuni na akasema, damu za Mashahidi hao ndizo zitakazoiletea ushindi Palestina.