Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Jun 25, 2022 21:52

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mapambano na muqawama ungali unaongeza nguvu zake hadi ufike wakati wa kukombolewa Palestina iliyoanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Mediterania.

  • Ismail Haniyeh: Jinai za utawala wa Kizayuni, hazitofautishi baina ya Waislamu na Wakristo

    Ismail Haniyeh: Jinai za utawala wa Kizayuni, hazitofautishi baina ya Waislamu na Wakristo

    Jun 24, 2022 22:33

    Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hautofautishi kati ya Waislamu na Wakristo katika jinai zake dhidi ya Palestina.

  • HAMAS: Israel iache kuchimba mashimo kwenye ua wa Msikiti wa Al-Aqsa

    HAMAS: Israel iache kuchimba mashimo kwenye ua wa Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 24, 2022 08:57

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaka utawala haramu wa Israel uache mara moja kitendo chake cha kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtatatifu wa al-Aqsa.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel mjini Jenin

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel mjini Jenin

    Jun 17, 2022 06:56

    Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi vijana watatu wa Kipalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS: Shambulio la Israel dhidi ya Syria linatokana na kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    HAMAS: Shambulio la Israel dhidi ya Syria linatokana na kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jun 13, 2022 03:30

    Mkuu wa Ofisi ya Mahusiano ya Harakati ya Mapambano ya Kislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, shambulio la utawala haramu wa Israel dhidi ya Syria sababu yake ni kushindwa mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.

  • Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Jun 12, 2022 03:23

    Duru za kiusalama huko Palestina zimedokeza kuwa, vikosi vya muqawama vya nchi hiyo vimefanyia majaribio makombora yao katika fukwe za Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kutapelekea kudhalilika madola ya Kiarabu

    Kiongozi Muadhamu: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kutapelekea kudhalilika madola ya Kiarabu

    Jun 08, 2022 07:22

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema tawala za Kiarabu zilizokhitari kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel bila ridhaa ya wananchi wao hazitakumbwa na hatima nyingine ghairi ya kuishia kudhalilishwa na kutumiwa vibaya na utawala huo haramu.

  • UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    Jun 08, 2022 06:23

    Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.

  • Abdollahian: Iran itaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Abdollahian: Iran itaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Jun 06, 2022 23:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitoruhusu kukanyagwa haki za Wairani katika mazungumzo (ya Vienna) au kupuuza haki za wananchi Waislamu wa Palestina na kueleza bayana kuwa, Tehran itaendelea kuunga mkono muqawama wa Wapalestina.

  • HAMAS:

    HAMAS: "Muqawama" ndiyo njia pakee ya kupambana na wavamizi na kuwashinda

    Jun 06, 2022 22:01

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, njia pekee ya kuweza kupambana na kuwashinda wavamizi ni muqawama na mapambano ya kila upande, ya silaha, ya kisiasa, ya kijamii, ya kiuchumi na ya kidiplomasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS