-
Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar
Oct 19, 2019 02:10Msemaji wa Idara ya Siasa ya kundi la Talibal la Afghanistan amesema kuwa Marekani inakwamisha utekelezwaji wa makubaliano ya Qatar.
-
Qatar yatangaza kufuta mfumo wa Kafala katika ajira
Oct 18, 2019 23:33Serikali ya Qatar imeahidi kufuta mfumo wa ajira unaowabana wafanyakazi wahajiri kwa waajiri wao na kuwafanya walazimike kupata idhini ya kampuni wanazotumikia ili kuweza kuondoka nchini humo.
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 11:35Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.
-
Marekani yafunga kamandi yake ya Jeshi la Anga Mashariki ya Kati nchini Qatar
Sep 30, 2019 23:17Jeshi la Anga la Marekani limetangaza kuhamisha kwa muda kamandi yake ya Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) kutoka Qatar hadi jimbo la Carolina Kusini nchini Marekani.
-
Qatar: Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu
Sep 12, 2019 07:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani hatua ya Wazayuni kukiuka haki za taifa la Palestina na kusema: "Palestina ni kipaumbele cha kwanza kwa nchi za Kiislamu na Kiarabu."
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar asisitiza umuhimu wa kulindwa umoja na mshikamano huko Yemen
Aug 16, 2019 23:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesisitiza kuwa, kuna ulazima wa kulindwa umoja na mshikamano huko Yemen baada ya kufichuliwa njama za Saudi Arabia na Imarati za kuigawa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani ndio chanzo hasa cha kukosekana amani katika eneo
Aug 08, 2019 08:01Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, muungano wa kijeshi unaotaka kuundwa na Marekani wa kisingizio cha kudhamini usalama wa vyombo vya majini ndio utakaosababisha kuvurugika zaidi amani na usalama katika eneo.
-
Iran na Qatar zasaini hati ya maelewano ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani
Aug 06, 2019 03:13Kamanda wa kikosi cha walinzi wa mpakani cha jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kamanda wa gadi ya pwani ya Qatar wamesaini hati ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani.
-
Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi
Jun 12, 2019 03:38Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar akiwa safarini nchini Uingereza amesema: "Saudi Arabia ni nguvu ya uharibifu katika eneo lote la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) na Afrika."
-
Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo
Jun 10, 2019 03:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman Aal Thani amesema sera za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabi zinashadidisha ugaidi na kuchochea taharuki katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.