-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Muscat Oman
Oct 02, 2017 00:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran leo subuhi ameondoka Tehran na kuelekea ziarani mjini Muscat Oman kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na Qatar.
-
Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar
Sep 22, 2017 04:27Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.
-
Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar
Sep 19, 2017 03:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar
Sep 19, 2017 01:39Mwanamfalme, Abdullah bin Ali Aal Thani kutoka familia ya kifalme ya Qatar amekosoa siasa za Amir wa nchi hiyo, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani na kumtaka aitishie kikao cha kitaifa cha kujadili mgogoro wa nchi hiyo.
-
Hali bado ni tata, mgogoro waendelea, Qatar yakamata boti nyingine tatu za Bahrain
Sep 18, 2017 23:51Kamanda wa gadi ya ulinzi wa fukweni ya Bahrain amesema kuwa, vikosi vya ulinzi wa fukweni vya Qatar vimekamata boti tatu za nchi hiyo katika kipindi cha siku mbili zilizopita.
-
Sudan yaitupa mkono Saudia, sasa yakusudia kuimarisha zaidi mahusiano na Qatar
Sep 15, 2017 23:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan ameeleza kuwepo mazungumzo kati ya Sudan na Qatar kwa ajili ya kupanua zaidi mahusiano ya pande mbili.
-
Iran, mhimili wa vita vya maneno baina ya Qatar na Saudia ndani ya Arab League
Sep 14, 2017 03:05Katika hali ambayo kwa mara nyingine moto wa mgogoro kati ya Qatar na Saudia umeibuka, wawakilishi wa nchi mbili katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwa mara nyingine wameshambuliana kwa maneno kuhusiana na nasafi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Masheikh wawili watiwa mbaroni Saudia kwa kosa la kufadhiliwa kifedha na Qatar
Sep 11, 2017 03:52Maafisa usalama nchini Saudi Arabia wamewatia mbaroni mashekhe wawili wa nchi hiyo kwa kosa la eti kufadhiliwa kifedha na Qatar katika harakati zao za kidini.
-
New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump
Sep 10, 2017 10:04Gazeti la New York Times la nchini Marekani limesema kuwa, rais wa nchi hiyo, Donald Trump ameshindwa kutatua mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia.
-
Kutokuweko viashiria chanya vya kutatuliwa mgogoro wa Qatar na kundi la 3+1
Sep 09, 2017 03:33Licha ya kuwa kumeanza duru mpya ya juhudi za upatanishi wa kuutatua mgogoro unaofukuta kati ya Qatar na kundi la 3+1, lakini Mohammed bin Abdulrahman Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, nchi yake itakaa katika meza ya mazungumzo pale tu mamlaka ya kujitawala Doha yatakapoheshimiwa na kutotiwa dosari.