Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Saudia yakubali kufanya mazungumzo na Qatar na kisha kughairi baada ya madakika

    Saudia yakubali kufanya mazungumzo na Qatar na kisha kughairi baada ya madakika

    Sep 09, 2017 03:23

    Saudi Arabia imesimamisha mpango wa kufanya mazungumzo na Qatar kuhusu jinsi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro kati ya Doha na nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na utawala wa Riyadh, dakika chache baada ya kukubali kuja kwenye meza ya mazungumzo.

  • Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Sep 08, 2017 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammad bin Abdulrahman Aal Thani amesema, masharti 13 yaliyowekwa na tawala za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia ambazo zimeiwekea nchi yake vikwazo, hayakubaliki kwani yanalenga kuhujumu mamlaka ya kijitawala Qatar.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote

    Sep 01, 2017 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote na wakati huo huo hairuhusu nchi nyingine kuingilia masuala yake.

  • Somalia yakataa

    Somalia yakataa "rushwa" ya Saudia, yagoma kujiunga na nchi zinazoisusia Qatar

    Aug 30, 2017 22:23

    Rais wa Somalia amekataa pendekezo la kupewa Euro milioni 68 lililotolewa na utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia mkabala wa kujiunga na muungano wa nchi zilizokata uhusiano wao na kuisusia Qatar.

  • Mgogoro wa Riyadh na Doha wasababisha idadi ya Mahujaji wa Qatar kupungua

    Mgogoro wa Riyadh na Doha wasababisha idadi ya Mahujaji wa Qatar kupungua

    Aug 29, 2017 03:05

    Athari za mgogoro kati ya Doha na Riyadh zimeathiri pakubwa idadi ya Mahujaji wa Qatar walioenda kutekeleza ibada tukufu ya Hijja mwaka huu nchini Saudi Arabia.

  • Sisitizo la Qatar la kuimarisha uhusiano na Iran

    Sisitizo la Qatar la kuimarisha uhusiano na Iran

    Aug 24, 2017 08:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imesema usiku wa kuamkia leo Alkhamisi kwamba Doha imeamua kumrejesha balozi wake mjini Tehran.

  • Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Aug 22, 2017 03:43

    Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, itamrejesha balozi wake ambaye awali ilimwita nyumbani baada ya kuanza mgogoro kati ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi na Qatar.

  • Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Aug 21, 2017 03:53

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa imekusudia kuishitaki Saudi Arabia katika Umoja wa Mataifa kutokana na nchi hiyo kutishia kuzishambulia ndege zake za abiria.

  • Saudia yawaweka katika orodha nyeusi shakhsia wanaoiunga mkono Qatar

    Saudia yawaweka katika orodha nyeusi shakhsia wanaoiunga mkono Qatar

    Aug 19, 2017 10:39

    Mshauri wa Kasri la Ufalme nchini Saudi Arabia ametangaza habari ya kukamilika maandalizi ya orodha eti nyeusi ya watu wanaoiunga mkono Qatar na siasa zake za kigeni kuhusu mgogoro wa uhusiano wa nchi hiyo na ya Saudia, Imarati, Bahrain na Misri.

  • Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Aug 17, 2017 10:00

    Saudi Arabia imefungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS