Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Mwanasiasa Tunisia: Mzingiro wa Waarabu dhidi ya Qatar ni ishara ya kufeli Arab League

    Mwanasiasa Tunisia: Mzingiro wa Waarabu dhidi ya Qatar ni ishara ya kufeli Arab League

    Jun 16, 2017 10:55

    Nizar Ayyad mjumbe wa ngazi ya juu wa chama cha Nida nchini Tunisia amesema kuwa, kitendo cha kuzingirwa na kuwekewa vikwazo taifa la Qatar, ni ishara ya wazi ya kushindwa vibaya Saudia, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Mauzo ya silaha, faida ya Marekani kutokana na mgogoro wa Saudia na Qatar

    Mauzo ya silaha, faida ya Marekani kutokana na mgogoro wa Saudia na Qatar

    Jun 16, 2017 08:31

    Hatua ya Saudi Arabia na kundi lake ya kuanzisha mgogoro na nchi ndogo ya Qatar, imeipa Marekani kisingizio cha kuiuzia Doha ndege 36 za kivita aina ya F 15 zenye thamani ya dola bilioni 12.

  • Qatar yaondoa askari wake waliotumwa kwenye mpaka wa pamoja wa Djibouti na Eritrea

    Qatar yaondoa askari wake waliotumwa kwenye mpaka wa pamoja wa Djibouti na Eritrea

    Jun 14, 2017 23:47

    Qatar imetangaza kuwa imewaondoa askari wake wa kulinda amani kwenye mpaka unaozozaniwa na nchi mbili za Djibouti na Eritrea baada ya mataifa hayo mawili ya Afrika Mashariki kujiunga na kambi ya Saudi Arabia katika mgogoro ulioanzishwa na nchi hiyo na washirika wake dhidi ya Qatar.

  • Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake

    Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake

    Jun 14, 2017 03:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa katika eneo hili la Mashariki ya Kati yumkini ukapelekea madola fulani kuongeza kiwango cha ununuzi wa silaha.

  • Wasiwasi wa Amir wa Kuwait kuhusiana na mpasuko katika ulimwengu wa Kiarabu

    Wasiwasi wa Amir wa Kuwait kuhusiana na mpasuko katika ulimwengu wa Kiarabu

    Jun 13, 2017 23:46

    Sambamba na kuendelea mgogoro katika ulimwengu wa Kiarabu, Amir wa Kuwait ameelezea wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mvutano katika uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na kutahadharisha kuhusiana na matokeo mabaya ya kuendelea hitilafu kati ya Saudi Arabia na Qatar.

  • Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Amnesty yashutumu uamuzi wa Saudia na wapambe wake dhidi ya Qatar

    Jun 13, 2017 09:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua zisizo na mantiki za Saudi Arabia na wapambe wake dhidi ya Qatar.

  • Mfalme wa Morocco aagiza kupelekwa bidhaa za chakula nchini Qatar

    Mfalme wa Morocco aagiza kupelekwa bidhaa za chakula nchini Qatar

    Jun 13, 2017 02:46

    Mfalme wa Morocco ameagiza kutumwa bidhaa za chakula huko Qatar.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Mazingira kwa ajili ya mazungumzo bado hayajaandaliwa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Mazingira kwa ajili ya mazungumzo bado hayajaandaliwa

    Jun 12, 2017 21:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ameashiria akiwa mjini London kuhusu kuendelea jitihada za upatanishi wa Kuwait kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliojitokeza kati ya nchi kadhaa za Kiarabu na nchi yake na kueleza kuwa, mazungumzo ya kidiplomasia ni njia itakayoweza kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, hata hivyo amesema mazingira ya kufanyika mazungumzo hayo hadi sasa bado hayajaandaliwa.

  • Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Jun 12, 2017 03:21

    Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Qatar amesema kuwa, nchi hiyo ililialika kundi la kigaidi la Taliban mjini Doha kutokana na takwa la Marekani ambayo leo, ikiwa pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu, inaituhuma Qatar kuwa inaunga mkono makundi yenye misimamo mikali.

  • Saudia yawapiga marufuku raia wa Qatar kuingia Masjid al-Haram

    Saudia yawapiga marufuku raia wa Qatar kuingia Masjid al-Haram

    Jun 11, 2017 22:44

    Mgogoro wa kidiplomasia ulioibuka kati ya Saudi Arabia ikishirikiana na nchi kadhaa za Kiarabu dhidi ya Qatar unaonekana kuchukua sura mpya baada ya watawala wa Aal Saud kuwazuia raia wa Qatar kuingia katika msikiti wa Makka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS