Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Mar 26, 2022 02:23

    Viongozi wa Kikristo wameeleza hofu yao kutokana na kupungua kwa kiwango cha kushtua idadi ya Wakristo katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Palestina, OIC zailaani Honduras kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Palestina, OIC zailaani Honduras kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Jun 26, 2021 12:42

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekosoa vikali hatua ya serikali ya Honduras ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv.

  • Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Jun 21, 2021 02:54

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema taifa la Palestina karibuni hivi litaukomboa Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina

    Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina

    May 29, 2021 12:32

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.

  • Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    May 23, 2021 11:24

    Hali ya wasiwai imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.

  • Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    May 08, 2021 12:21

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    Kurejea Wapalestina katika ardhi zao ndio suluhu ya kadhia ya Palestina

    May 07, 2021 08:21

    Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu limesema kutimuliwa Wazayuni maghasibu na kurejea Wapalestina katika ardhi za mababu zao ndilo suluhisho pekee la mgogoro wa Palestina-Israel.

  • Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    May 06, 2021 12:45

    Mkuu wa Baraza Kuu la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ukombozi wa Quds tukufu umejongea wakati huu, kuliko wakati mwingine wowote ule.

  • Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    May 05, 2021 07:32

    Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.

  • Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    May 05, 2021 06:30

    Mwanaharakati mmoja nchini Russia ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kulipa kipaumbele cha kwanza suala la ukombozi wa Quds tukufu na kadhia ya Palestina kwa ujumla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS