Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani akiwa Japan: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havimnufaishi yoyote

    Rais Rouhani akiwa Japan: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havimnufaishi yoyote

    Dec 21, 2019 03:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya upande mmoja ya Marekani ya kujiondoa kinyume cha sheria kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haina maslahi kwa Marekani yenyewe wala upande wowote wa mapatano hayo ya kimataifa.

  • Rais wa Iran asisitiza  ulazima wa kustafidi na suhula za Ulimwengu wa Kiislamu

    Rais wa Iran asisitiza ulazima wa kustafidi na suhula za Ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 19, 2019 13:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa umoja na mshikamano vinaweza kusiadia ustawi wa nchi za Kiislamu na kupatia ufumbuzi matatizo ya Waislamu na kusisitiza juu ya ulazima wa kustafidi na suhula nyingi za Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Rais Rouhani: Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuachana na mfumo wa kifedha wa Marekani

    Rais Rouhani: Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuachana na mfumo wa kifedha wa Marekani

    Dec 19, 2019 08:02

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una changamoto nyingi kitaifa na kimataifa na kusisitiza kuwa, nchi za Kiislamu zinapaswa kuwa na tadibiri na mikakati madhubuti ya kuachana na ubeberu wa sarafu ya dola wa kutegemea mfumo wa kifedha wa Marekani.

  • Rouhani: Marekani ndio mzizi wa matatizo ya Waislamu duniani

    Rouhani: Marekani ndio mzizi wa matatizo ya Waislamu duniani

    Dec 19, 2019 04:08

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uingiliaji mambo wa Marekani ndilo chimbuko la matatizo na migogoro inayoukabili uliwemwengu wa Kiislamu hii leo.

  • Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi zote za Kiislamu kutengeneza akili bandia

    Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi zote za Kiislamu kutengeneza akili bandia

    Dec 18, 2019 11:46

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kushirikiana na nchi zote za Kiislamu katika kustawisha utaalamu wa Akili Bandia (Artificial Intelligence).

  • Rais Rouhani: Iran imevibadilisha vikwazo na kuvifanya kuwa fursa

    Rais Rouhani: Iran imevibadilisha vikwazo na kuvifanya kuwa fursa

    Dec 18, 2019 08:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya wananchi wa taifa hili na kusema kuwa, Tehran imesimama kidete na kuvibadilisha vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya maadui na kuwa fursa.

  • Rais Rouhani: Iran inataka kuwa na uhusiano mkubwa na nchi muhimu za Asia

    Rais Rouhani: Iran inataka kuwa na uhusiano mkubwa na nchi muhimu za Asia

    Dec 17, 2019 08:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za kueleka mashariki na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na nchi muhimu za bara Asia ni miongoni mwa malengo ya siku zote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani: Njama za Marekani dhidi ya wananchi wa eneo zitagonga mwamba

    Rouhani: Njama za Marekani dhidi ya wananchi wa eneo zitagonga mwamba

    Dec 11, 2019 12:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa njama za Marekani dhidi ya Iran, Iraq, Syria, Lebanon, Afghanistan, Pakistan, Yemen na nchi nyingine za eneo hili zitafeli kwa kushirikishwa wananchi.

  • Rais Rouhani awasilisha bungeni bajeti ya mwaka ujao wa fedha wa 1399 Hijria Shamsia

    Rais Rouhani awasilisha bungeni bajeti ya mwaka ujao wa fedha wa 1399 Hijria Shamsia

    Dec 08, 2019 07:34

    Rais Hassan Rouhani amewasilisha bungeni bajeti ya serikali ya mwaka ujao wa fedha wa 1399 Hijria Shamsia.

  • Rouhani: Mazungumzo na kundi la 5+1 yanawezekana iwapo vikwazo vya kidhalimu dhidi ya Iran vitaondolewa

    Rouhani: Mazungumzo na kundi la 5+1 yanawezekana iwapo vikwazo vya kidhalimu dhidi ya Iran vitaondolewa

    Dec 04, 2019 07:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa kundi la 5+1 iwapo Marekani italiondolea taifa hili vikwazo vyake vya kidhalimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS