Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa

    Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa

    Aug 12, 2018 09:07

    Marais wa Iran na Russia wamejadili na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya pande mbili, ya kikanda na kimataifa katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo kandokando ya mkutano wa 5 wa viongozi wa nchi za pwani mwa Bahari ya Kaspi unaofanyika nchini Kazakshtan.

  • Rais Rouhani: Marekani haina muamana, haiheshimu ahadi yake yoyote

    Rais Rouhani: Marekani haina muamana, haiheshimu ahadi yake yoyote

    Aug 08, 2018 10:12

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya upande mmoja ya Marekani ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, utendaji wa serikali ya Washington katika kipindi hiki chote ulikuwa kwa namna ambayo hii leo, Marekani inatambulika kama nchi isiyo na muamana na isiyotekeleza ahadi yakke yoyote.

  • Rouhani: Umoja wa Wairani ni jibu imara kwa matamshi ya kipuuzi ya viongozi wa Marekani

    Rouhani: Umoja wa Wairani ni jibu imara kwa matamshi ya kipuuzi ya viongozi wa Marekani

    Jul 25, 2018 08:59

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vitisho hewa na visivyo na msingi vya baadhi ya viongozi wa Marekani havistahili kujibiwa na kueleza kuwa: Kutotetereka, kuwa na umoja na kutojali vitisho na njama za Marekani na kufanya juhudi za kuzisambaratisha njama za maadui, ndiyo jibu lenye nguvu zaidi la taifa la Iran kwa matamshi ya kipuuzi ya watawala wa Marekani.

  • Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 20:49

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.

  • Rais Rouhani: Trump usicheze na mkia wa simba, jibu la Iran litakuwa kali

    Rais Rouhani: Trump usicheze na mkia wa simba, jibu la Iran litakuwa kali

    Jul 22, 2018 10:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, sambamba na kubainisha kwamba, Iran sio nchi ya uchokozi na inafuatilia udiplomasia, amesisitiza kwamba, nchi hii haina ugomvi na yeyote, lakini maadui wanatakiwa kufahamu kwamba kufanya vita na Iran ni kuingia katika vita kubwa na kufanya amani na Iran ni kufanya amani kubwa.

  • Kiongozi Muadhamu: Serikali ina uwezo wa kukwamisha njama za Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Serikali ina uwezo wa kukwamisha njama za Marekani

    Jul 15, 2018 09:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, serikali ya taifa hili endapo itachukua hatua za lazima itaweza kuyapatia ufumbuzi matatizo na kusambaratisha njama za Marekani.

  • Rouhani: Nchi nyingi za dunia zimetangaza kutofuata sheria za ndani za Marekani

    Rouhani: Nchi nyingi za dunia zimetangaza kutofuata sheria za ndani za Marekani

    Jul 14, 2018 09:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, serikali ya Tehran imekuwa na mazungumzo mazuri na nchi mbalimbali za Ulaya, China, Russia, nchi jirani na mataifa muhimu ya Asia na akthari ya nchi hizo zimetangaza kwamba, hazifuati sheria za ndani za Marekani.

  • Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni

    Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni

    Jul 12, 2018 10:31

    Mjumbe maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkabidhi Rais Yoweri Museveni wa Uganda ujumbe wa maandishi kutoka kwa mwenzake wa Iran.

  • Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Jul 11, 2018 08:51

    Marekani imelegeza msimamo wake mkali wa kuiwekea Iran vikwazo na kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya nchi hii kuuzwa katika soko la kimataifa ifikapo Novemba 4.

  • Kifurushi 'cha kukatisha tamaa' cha Ulaya; kuendelea JCPOA kutategemea kikao cha Vienna

    Kifurushi 'cha kukatisha tamaa' cha Ulaya; kuendelea JCPOA kutategemea kikao cha Vienna

    Jul 06, 2018 09:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na Angela Merkel, Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa na kuwafahamisha kwamba kifurushi cha kiuchumi cha Umoja wa Ulaya kilichowasilishwa kwa Iran ni cha 'kukatisha tamaa'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS