Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu

    Rais Rouhani: JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu

    Jul 04, 2018 09:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu kwa ujumla.

  • Rais Hassan Rouhani: Kamwe taifa la Iran halitosalimu amri mbele ya mashinikizo ya kigeni

    Rais Hassan Rouhani: Kamwe taifa la Iran halitosalimu amri mbele ya mashinikizo ya kigeni

    Jul 03, 2018 03:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kamwe taifa la Iran halitosalimu amri mbele ya mashinikizo ya kigeni.

  • Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Jul 03, 2018 02:49

    Rais Hassan Rouani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu alianza safari ya kuzitembelea Uswisi na Austria kufuatia mwaliko wa viongozi wa wa nchi hizo mbili za Ulaya. Rais Rouhani anaongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi katika safari hiyo

  • Rais Rouhani wa Iran amtumia salamu Rais Kabila wa DRC

    Rais Rouhani wa Iran amtumia salamu Rais Kabila wa DRC

    Jul 01, 2018 09:25

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amemtumia salamu za pongezi Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa munasaba wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa nchi hiyo.

  • Rais Rouhani: Wanaolitakia mabaya taifa la Iran muda si mrefu watasailimu amri

    Rais Rouhani: Wanaolitakia mabaya taifa la Iran muda si mrefu watasailimu amri

    Jun 28, 2018 09:06

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kuna haja ya kukabiliana na vitisho vya adui na kuvibadilisha kuwa fursa, kwani wanaolitakia mabaya taifa hili muda si mrefu watasalimu amri.

  • Rouhani: Taifa la Iran litaipiga mweleka Marekani katika mapambano ya kusimama kidete

    Rouhani: Taifa la Iran litaipiga mweleka Marekani katika mapambano ya kusimama kidete

    Jun 27, 2018 23:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana jioni alisisitiza kuwa taifa la Iran kamwe haliwezi kuwapigia magoti wavamizi na mabeberu na kuongeza kuwa, Wairani wataishinda Marekani katika mapambano ya maamuzi na ya kusimama kidete.

  • Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Jun 26, 2018 10:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama zinazofanywa na Marekani dhidi ya Iran tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kkusema kuwa, taifa na mfumo wa Iran umevuka njama za adui katika vipindi mbalimbali kutokana na kuwa macho na makini.

  • Rouhani: Wairani hawawezi kupigishwa magoti na njama za Marekani

    Rouhani: Wairani hawawezi kupigishwa magoti na njama za Marekani

    Jun 21, 2018 09:43

    Rais Hassan Rouhani amesema katu taifa la Iran haliwezi kupigishwa magoti na njama na mashinikizo ya dola la kibeberu la Marekani.

  • Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Jun 18, 2018 10:55

    Rais Hassan Rouhani amekaribisha kustawishwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar na kusisitiza kuwa hakuna kizuizi chochote cha kuzuia kustawishwa uhusiano huo na kwamba Tehran itaendelea kuwa pamoja na Doha.

  • Rouhani: Dunia isimame kidete kukabiliana na ubabe wa Marekani

    Rouhani: Dunia isimame kidete kukabiliana na ubabe wa Marekani

    Jun 15, 2018 11:18

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, leo inapasa kuwepo ushirikiano wa watu na nchi zote duniani, washirika wa kibiashara wa Iran, Ulaya, Russia, China na mataifa jirani katika kukabiliana na watawala wa Marekani wanaotumia mabavu na kujifanya wababe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS