-
Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi
Jun 14, 2018 11:25Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa kukaribia kuingia katika sikukuu ya Idul Fitr.
-
Rouhani: Iran itajiondoa JCPOA iwapo haitadhaminiwa maslahi yake
Jun 13, 2018 02:45Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo itahisi haistafidi wala kupata maslahi yoyote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Rais Rouhani: Iran na China zimeazimia kuendeleza ushirikiano wa kistratejia katika nyuga zote
Jun 10, 2018 22:12Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na China wameeleza azma ya serikali zao ya kustawisha ushirikiano wao na kusisitiza juu ya kuendeleza ushirikiano wao wa pamoja wa kistratejia katika nyuga zote.
-
Rais Rouhani: Iran iko tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi kieneo na kimataifa
Jun 10, 2018 03:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ni mshirika huru na wa kuaminika na iko tayari kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kieneo na kimataifa.
-
Rouhani: Ushirikiano wa Iran na Russia dhidi ya ugaidi utaendelea
Jun 09, 2018 12:41Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuimarishwa zaidi ushirikiano wa Tehran na Moscow katika masuala ya usalama na ustawi.
-
Rais Rouhani: Kukombolewa Quds ni tarajio takatifu la taifa la Iran na Waislamu wote
Jun 07, 2018 11:06Rais Hassan Rouhani amesema: Siku ya Quds ni siku ya kihistoria ya kupaza mayowe dhidi ya madhalimu na kulihami taifa linalodhulumiwa ambalo kwa muda wote wa miaka 70, watu wake wamehamishwa kidhulma kwenye nyumba na makazi yao.
-
Rais Rouhani: Hatua zilizochukuliwa hadi sasa ni chanya kwa ajili ya kuendeleza JCPOA
May 27, 2018 03:12Rais Hassan Rouhani amesema, baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya JCPOA waliowengi katika jamii ya kimataifa wameipa haki Iran na kuyatetea makubaliano hayo na kuongeza kwamba hatua zilizochukuliwa hadi sasa ni nzuri kwa ajili ya kuendeleza makubaliano hayo ya nyuklia.
-
Rais Rouhani: Tukijilegeza mbele ya mabeberu hatutofika popote
May 24, 2018 23:50Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, heshima, utukufu, staha na hadhi ndiyo mambo muhimu zaidi kwa taifa kabla ya jambo lolote na kuongeza kuwa, hata kama tutakuwa na taifa tajiri lenye watu wengi lakini tukawa dhalili mbele ya dola fulani la kibeberu, basi hatutoweza kufika popote.
-
Rouhani: Taifa la Iran halitishwi na vitisho hewa vya Marekani
May 23, 2018 03:03Rais Hassan Rouhani amekosoa vikali vitisho vipya vilivyotolewa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa taifa kubwa la Iran halitishwi wala kubabaishwa na vitisho hewa vya utawala wa Donald Trump.
-
Rouhani: Marekani haiwezi kuiamulia dunia nzima
May 21, 2018 23:43Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haiwezi kuchukua mamuzi kuhusu Iran na nchi zingine huru na zenye kujitegemea duniani.