Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    May 21, 2018 03:41

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba kamwe Marekani haitoweza kulipigisha magoti taifa imara la Iran.

  • Rouhani: Njama za Marekani za kuitenga Iran na dunia zimefeli

    Rouhani: Njama za Marekani za kuitenga Iran na dunia zimefeli

    May 20, 2018 02:56

    Rais Hassan Rouhani amesema njama za Marekani za kuitenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na dunia zimegonga mwamba licha ya jitihada kubwa za Washington za kufanikisha azma hiyo.

  • Rais wa Iran ataka dunia isusie Israel, iangalie upya uhusiano na Marekani

    Rais wa Iran ataka dunia isusie Israel, iangalie upya uhusiano na Marekani

    May 18, 2018 23:33

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.

  • Rouhani: Nchi za Kiislamu zinapasa kutoa jibu kali kwa ukatili na jinai za utawala wa Kizayuni

    Rouhani: Nchi za Kiislamu zinapasa kutoa jibu kali kwa ukatili na jinai za utawala wa Kizayuni

    May 17, 2018 09:46

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kutoa jibu kali katika kikao cha dharura cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) huko Istanbul kwa udhalimu na jinai zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya wananchi madhlumu wa Palestina.

  • Rais Rouhani: Nchi za Kiislamu zikabiliane na hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za Marekani na Israel

    Rais Rouhani: Nchi za Kiislamu zikabiliane na hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za Marekani na Israel

    May 17, 2018 03:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mauaji dhidi ya wananchi wa Palestina yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel ni maafa makubwa.

  • Rais wa Iran: Michezo ya kisiasa haiwezi kuitenganisha Quds na Waislamu

    Rais wa Iran: Michezo ya kisiasa haiwezi kuitenganisha Quds na Waislamu

    May 16, 2018 09:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mji wa Quds au Baitul Muqaddas (Jerusalem) ambako ndiko uliko Msikiti wa Al Aqsa ni mji unaoheshimiwa na Waislamu wote na hivyo ardhi hiyo takatibu haiwezi kuteganishwa na Waislami zaidi ya bilioni moja na nusu duniani kwa mchezo wa kisiasa.

  • Rais Rouhani: Mashirika ya Iran yako tayari kutoa huduma za ufundi na uhandisi kwa Sri Lanka

    Rais Rouhani: Mashirika ya Iran yako tayari kutoa huduma za ufundi na uhandisi kwa Sri Lanka

    May 13, 2018 11:17

    Rais Hassan Rouhani amesema Iran iko tayari kupanua uhusiano na ushirikiano wa pande zote na Sri Lanka.

  • Rais Rouhani: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na majirani zake ikiwemo Turkmenistan

    Rais Rouhani: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na majirani zake ikiwemo Turkmenistan

    May 12, 2018 23:22

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeazimia kwa dhati kuimarisha ushirikiano wake na majirani wote katika nyanja zote ikiwemo Turkmenistan ambayo ni nchi rafiki na ndugu.

  • Rouhani: Kujitoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA kunadhihirisha namna Washington isivyoheshimu makubaliano ya kimataifa

    Rouhani: Kujitoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA kunadhihirisha namna Washington isivyoheshimu makubaliano ya kimataifa

    May 08, 2018 23:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kuwa Marekani haikuwa ikiheshimu kivyovyote ahadi na majukumu yake na kwamba kujiondoa kwake katika makubaliano hayo ni jambo lililotarajiwa.

  • Rais Rouhani: Iran itasimama kidete kupambana na njama za Marekani za kukwamisha mchango wake

    Rais Rouhani: Iran itasimama kidete kupambana na njama za Marekani za kukwamisha mchango wake

    May 07, 2018 20:57

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itasimama kidete kukabiliana na njama za Marekani za kukwamisha nafasi yake muhimu katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS