Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Moscow: Ndege ya Russia haikuangushwa na magaidi

    Moscow: Ndege ya Russia haikuangushwa na magaidi

    Dec 25, 2016 12:17

    Mkuu wa Kamati ya Ulinzi nchini Russia amepinga uwezekano kuwa magaidi walihusika katika kuanguka ndege ya nchi hiyo mapema hii leo.

  • Iran na Russia; juhudi za kidiplomasia za kuanzisha mazungumzo ya kisiasa kuhusu Syria

    Iran na Russia; juhudi za kidiplomasia za kuanzisha mazungumzo ya kisiasa kuhusu Syria

    Dec 25, 2016 09:28

    Jitihada za kidiplomasia zinafanyika tena kwa ajili ya kuanzisha mazungumzo ya kisiasa huko Syria baada ya kukombolewa mji wa kistratejia wa Halab (Aleppo) kutoka mikononi mwa magaidi wa Daesh.

  • Russia kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria

    Russia kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria

    Dec 24, 2016 12:14

    Mbunge mmoja wa Russia amesema kuwa, Moscow imeamua kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria.

  • Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Dec 24, 2016 03:59

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.

  • Putin ampongeza Bashar Assad kwa kukombolewa kikamilifu Aleppo

    Putin ampongeza Bashar Assad kwa kukombolewa kikamilifu Aleppo

    Dec 23, 2016 23:37

    Rais Vladimir Putin wa Russia amempigia simu mwenzake wa Syria, Bashar al-Assad, na kumpongeza kutokana na kukombolewa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab), uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria.

  • Balozi wa Russia Cairo: Qur'ani na Uislamu havina uhusiano wowote na ugaidi

    Balozi wa Russia Cairo: Qur'ani na Uislamu havina uhusiano wowote na ugaidi

    Dec 23, 2016 00:01

    Balozi wa Russia mjini Cairo, Misri amesema kuwa mafundisho ya Qur'ani tukufu hayana mfungamano wa aina yoyote ile ya ugaidi.

  • Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Dec 22, 2016 11:15

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi ni ushindi mkubwa sio tu kwa taifa hilo, bali pia kwa Iran na Russia.

  • Kundi la Daesh limetishia tena kuishambulia Russia

    Kundi la Daesh limetishia tena kuishambulia Russia

    Dec 21, 2016 10:59

    Kundi la kigaidi la Daesh limetuma ujumbe na kutishia kuzishambulia balozi za Russia kote ulimwenguni.

  • Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki

    Dec 20, 2016 04:23

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki na kuutaja ukatili huo kama kitendo cha kikatili na kishenzi.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Dec 19, 2016 23:35

    Umoja wa Ulaya umeongeza muda wa vikwazo dhidi ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS