-
Balozi wa Russia nchini Uturuki amiminiwa risasi nane na kuuawa
Dec 19, 2016 15:19Balozi wa Russia nchini Uturuki amepigwa risasi na kuaga duani kwa majeraha baada ya kumiminiwa risasi wakati alipokuwa akihutubia kwenye maonyesho ya katika mji mkuu wa nchi hiyo Ankara.
-
Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA
Dec 17, 2016 03:43Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.
-
Russia: Madai kuwa Putin aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka'
Dec 16, 2016 04:46Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema madai yanayoenezwa na vyombo vya habari kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka' na madai ya upuuzi.
-
Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati
Dec 15, 2016 08:11Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.
-
Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo
Dec 12, 2016 03:48Serikali ya Russia imekanusha ripoti za kipropaganda zinazodai kuwa nchi hiyo imesaini mapatano na Marekani ya kuwapa kinga na msamaha magaidi waliosalia katika mji wa Aleppo nchini Syria.
-
Rais Rouhani asisitiza udharura wa nchi za kundi la 5+1 kulinda makubaliano ya JCPOA
Dec 03, 2016 10:37Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa nchi zote zinazounda kundi la 5+1 kufanya juhudi za kulinda matunda ya makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Libya kustafidi na uzoefu wa kiusalama wa Russia katika kupambana na ugaidi
Nov 29, 2016 23:19Kamanda Mkuu wa vikosi vya Libya mashariki mwa nchi hiyo ametaka kutumiwa uzoefu wa kiusalama wa Russia katika mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa vita dhidi ya ugaidi
Nov 29, 2016 04:45Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamesisitiza kuhusu kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Sisitizo la Russia juu ya nafasi ya UN katika kutatua migogoro ya kimataifa
Nov 25, 2016 12:57Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuna udharura wa kuwepo ushirikiano kati ya nchi yake na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutatua migogoro duniani.
-
Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria
Nov 22, 2016 13:04Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.