Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Balozi wa Russia nchini Uturuki amiminiwa risasi nane na kuuawa

    Balozi wa Russia nchini Uturuki amiminiwa risasi nane na kuuawa

    Dec 19, 2016 15:19

    Balozi wa Russia nchini Uturuki amepigwa risasi na kuaga duani kwa majeraha baada ya kumiminiwa risasi wakati alipokuwa akihutubia kwenye maonyesho ya katika mji mkuu wa nchi hiyo Ankara.

  • Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Dec 17, 2016 03:43

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.

  • Russia: Madai kuwa Putin aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka'

    Russia: Madai kuwa Putin aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka'

    Dec 16, 2016 04:46

    Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema madai yanayoenezwa na vyombo vya habari kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka' na madai ya upuuzi.

  • Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati

    Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati

    Dec 15, 2016 08:11

    Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.

  • Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo

    Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo

    Dec 12, 2016 03:48

    Serikali ya Russia imekanusha ripoti za kipropaganda zinazodai kuwa nchi hiyo imesaini mapatano na Marekani ya kuwapa kinga na msamaha magaidi waliosalia katika mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Rais Rouhani asisitiza udharura wa nchi za kundi la 5+1 kulinda makubaliano ya JCPOA

    Rais Rouhani asisitiza udharura wa nchi za kundi la 5+1 kulinda makubaliano ya JCPOA

    Dec 03, 2016 10:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa nchi zote zinazounda kundi la 5+1 kufanya juhudi za kulinda matunda ya makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Libya kustafidi na uzoefu wa kiusalama wa Russia katika kupambana na ugaidi

    Libya kustafidi na uzoefu wa kiusalama wa Russia katika kupambana na ugaidi

    Nov 29, 2016 23:19

    Kamanda Mkuu wa vikosi vya Libya mashariki mwa nchi hiyo ametaka kutumiwa uzoefu wa kiusalama wa Russia katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa vita dhidi ya ugaidi

    Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa vita dhidi ya ugaidi

    Nov 29, 2016 04:45

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamesisitiza kuhusu kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Sisitizo la Russia juu ya nafasi ya UN katika kutatua migogoro ya kimataifa

    Sisitizo la Russia juu ya nafasi ya UN katika kutatua migogoro ya kimataifa

    Nov 25, 2016 12:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuna udharura wa kuwepo ushirikiano kati ya nchi yake na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutatua migogoro duniani.

  • Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Nov 22, 2016 13:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS