Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Marekani inanunua mafuta kutoka Russia licha ya kujiwekea marufuku ya uagizaji

    Marekani inanunua mafuta kutoka Russia licha ya kujiwekea marufuku ya uagizaji

    Jan 12, 2024 07:01

    Marekani imeendelea kununua mafuta ya Russia licha ya kuwa mtetezi mkuu wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo na kujiwekea marufuku tokea mwanzoni mwa mwaka 2022 ya kuagiza nishati kutoka nchini humo.

  • Iran na Russia: Marekani inatafuta visingizio vya kupanua uwepo wake katika eneo

    Iran na Russia: Marekani inatafuta visingizio vya kupanua uwepo wake katika eneo

    Jan 10, 2024 06:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov wamesema Marekani inajaribu kubuni visingizio ili kupanua uwepo wake katika eneo. Wanadiplomasia hao wakuu wa Tehran na Moscow wametoa indhari hiyo katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu jana Jumanne.

  • Kupanuka kundi la BRICS na kudhoofika wenzo wa mashinikizo wa Magharibi dhidi ya Iran na Russia

    Kupanuka kundi la BRICS na kudhoofika wenzo wa mashinikizo wa Magharibi dhidi ya Iran na Russia

    Jan 09, 2024 03:01

    Tovuti ya mtandao wa televisheni ya Marekani ya Bloomberg imeripoti kuwa, kuongezeka maradufu idadi ya wanachama wa kundi la BRICS kunadhoofisha nguvu ya nchi za Magharibi dhidi ya nchi kama Russia na Iran.

  • Kundi la BRICS ni jukwaa la nchi wanachama kufanya biashara bila dola ya Marekani

    Kundi la BRICS ni jukwaa la nchi wanachama kufanya biashara bila dola ya Marekani

    Jan 08, 2024 03:35

    Afisa moja wa Russia amewasilisha takwimu za uzalishaji na matumizi ya nafaka katika kundi la BRICS, na kubainisha kuhusu uwezo wa kundi hilo kufanya biashara bila kutumia sarafu ya dola ya Marekani.

  • Russia: Kuipindua serikali ya Kiev ni

    Russia: Kuipindua serikali ya Kiev ni "lengo muhimu na lisiloepukika" la operesheni za kijeshi Ukraine

    Dec 29, 2023 09:26

    Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia ametangaza kuwa kupinduliwa serikali ya Kiev ni "lengo muhimu zaidi na lisiloweza kuepukika" la operesheni za kijeshi za nchi hiyo nchini Ukraine.

  • Lukashenko: Russia yakamilisha zoezi la kuikabidhi Belarus shehena ya silaha za nyuklia za kitaktiki

    Lukashenko: Russia yakamilisha zoezi la kuikabidhi Belarus shehena ya silaha za nyuklia za kitaktiki

    Dec 26, 2023 11:38

    Rais wa Belarus amesema kuwa Russia imekamilisha zoezi la kukabidhi Belarusia shehena ya silaha za nyuklia za kitaktiki ambazo zimetumwa nchini humo kwa lengo la kukabiliana na mashambulizi yoyote yanayoweza kutekelezwa na Mungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato).

  • Russia: Bila usitishwaji vita azimio la Baraza la Usalama halitakuwa kwa manufaa ya Gaza

    Russia: Bila usitishwaji vita azimio la Baraza la Usalama halitakuwa kwa manufaa ya Gaza

    Dec 26, 2023 07:00

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza katika taarifa kwamba azimio la hivi karibuni la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Ukanda wa Gaza halitaathiri hali ya ukanda huo, na kwamba kuna udharura wa kutekelezwa usitishaji vita katika ukanda huo haraka iwezekanavyo.

  • M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    Dec 25, 2023 10:42

    Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Dec 23, 2023 08:18

    Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.

  • Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Dec 23, 2023 04:41

    Katika ziara yake nchini China, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili ni kwa manufaa ya Moscow na Beijing.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS