Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Jul 14, 2025 02:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai ya tovuti ya habari ya Marekani ya Axios kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia ameiomba Iran isirutubishe madini ya uranium kuwa "kampeni chafu ya kisiasa" .

  • Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia

    Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia

    Jul 13, 2025 16:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama wa nchi yake ndivyo vilivyosababisha mzozo unaoendelea hivi sasa kati ya Moscow na Magharibi.

  • Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini

    Russia yaonya US, waitifaki: Msiitishie Russia na Korea Kaskazini

    Jul 12, 2025 16:45

    Moscow imeionya Marekani na waitifaki wake dhidi ya kuzitishia Russia na Korea Kaskazini.

  • Russia: Kurutubisha Iran urani kwa 60% ni mjibizo kwa vikwazo ilivyowekewa

    Russia: Kurutubisha Iran urani kwa 60% ni mjibizo kwa vikwazo ilivyowekewa

    Jul 08, 2025 14:06

    Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna amesema, hatua ya Iran kurutubisha madini ya urani hadi kiwango cha asilimia 60 ni mjibizo kwa vikwazo na mashinikizo ya kimataifa inayowekewa.

  • Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Jul 07, 2025 11:15

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa Jeshi la anga la nchi hiyo limefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani 402 za Ukraine na mabomu saba ya angani yaliyokuwa yakiongozwa tokea mbali.

  • Rais Putin: BRICS imeipiku G7 katika utendaji kazi, GDP

    Rais Putin: BRICS imeipiku G7 katika utendaji kazi, GDP

    Jul 07, 2025 07:11

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema kundi la BRICS limelishinda kundi la G7 linalotawaliwa na nchi za Magharibi, kwa Pato Ghafi la Taifa (GDP).

  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Jul 04, 2025 12:26

    Katika hali ambayo Ukraine imekuwa ikishambuliwa vikali kwa ndege zisizo na rubani na makombora ya Russia katika kipindi cha miaka minne iliyopita, Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesitisha baadhi ya shehena za kijeshi ilizoahidiwa Ukraine, ikiwa ni pamoja na makombora ya Patriot na Hellfire.

  • Russia yajibu baada ya Trump 'kumtishia nyau' Putin eti 'anacheza na moto'

    Russia yajibu baada ya Trump 'kumtishia nyau' Putin eti 'anacheza na moto'

    May 28, 2025 06:48

    Rais wa Marekani, Donald Trump ametoa matamshi ambayo yanaonekana ya kumtishia mwenzake wa Russia, Vladimir Putin, ambapo amesema "anacheza na moto," bila kufafanua nini hasa anamaanisha.

  • Ghana: Afrika ipo tayari kushirikiana na Russia kuunda mustakabali wa kimataifa

    Ghana: Afrika ipo tayari kushirikiana na Russia kuunda mustakabali wa kimataifa

    May 27, 2025 07:05

    Mbunge wa Ghana amesema Afrika iko tayari kuwa nguvu muhimu katika maendeleo ya kimataifa, akikaribisha uhusiano unaozidi kustawi wa bara hilo na Russia, alioutaja kama njia ya maendeleo endelevu.

  • "Msingi wa uhusiano wa Russia, Afrika ni mshikamano wa zama za Sovieti"

    May 21, 2025 02:26

    Russia imesema serikali nyingi za Kiafrika zimedumisha msimamo huru, uliojikita katika kutoingilia kati masuala ya nchi nyingine, kuheshimu mamlaka ya kujitawala na uhuru wa kitaifa, na zimekataa kupasisha vikwazo dhidi ya Russia licha ya mashinikizo makubwa kutoka kwa nchi za Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS