Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Merkel: Ulaya huru inapaswa kupunguza mivutano kati yake na Russia

    Merkel: Ulaya huru inapaswa kupunguza mivutano kati yake na Russia

    Jun 26, 2021 02:46

    Kansela wa Ujerumani amesema kuwa, Umoja wa Ulaya wenye nguvu za kiutawala na uhuru, unabidi ulinde manufaa ya nchi za bara hilo na ufanye mazungumzo na Russia kama yale yaliyofanyika baina ya rais wa Marekani, Joe Biden na Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Jenerali Gerasimov: Russia inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kujibu mapigo

    Jenerali Gerasimov: Russia inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kujibu mapigo

    Jun 24, 2021 22:59

    Kamanda wa Majeshi ya Russia amesema kuwa Moscow inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kwa ajili ya kujibu mashambulizi ya mabomu ya nyuklia au silaha nyingine za mauajii ya umati dhidi ya nchi hiyo na waitifaki wake.

  • Russia: Mazungumzo ya JCPOA yamefika marhala ya mwisho

    Russia: Mazungumzo ya JCPOA yamefika marhala ya mwisho

    Jun 24, 2021 02:47

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na ambaye pia ni afisa wa ngazi ya juu katika timu ya mazungumzo ya nyuklia ya Russia ametangaza kuwa, mazungumzo ya kuhuisha mapatano ya JCPOA yamefikia marhala ya mwisho.

  • Russia yaanza mazoezi ya kijeshi eneo ambako Marekani pia inapanga mazoezi ya kivita

    Russia yaanza mazoezi ya kijeshi eneo ambako Marekani pia inapanga mazoezi ya kivita

    Jun 11, 2021 07:53

    Jeshi la Majini la Russia limeanza mazoezi makubwa ya kijeshi katika eneo la kati mwa Bahari ya Pasifiki punde baada ya Marekani kusema itafanya mazoezi makubwa zaidi ya kivita katika eneo hilo hilo katika msimu wa joto mwaka huu.

  • Rouhani: Iran inaunda vituo 2 vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia

    Rouhani: Iran inaunda vituo 2 vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia

    Jun 10, 2021 08:21

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeanza ujenzi wa vinu viwili vipya vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia.

  • Russia: Wanajeshi wa Marekani nchini Syria ni wavamizi, waondoke

    Russia: Wanajeshi wa Marekani nchini Syria ni wavamizi, waondoke

    Jun 09, 2021 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, wanajeshi wa Marekani ni wavamizi nchini Syria na wako huko kinyume cha sheria, hivyo wanapaswa waondoke.

  • Rais Putin wa Russia naye atabiri kuwa Marekani inaelekea kusambaratika

    Rais Putin wa Russia naye atabiri kuwa Marekani inaelekea kusambaratika

    Jun 07, 2021 08:53

    Rais Vladimir Putin wa Russia katika kikao chake cha hivi karibuni na waandishi habari pembizoni mwa Kongamano la Kimataifa la Uchumi mjini St. Petersburg alisema kuwa Marekani inakumbwa na matatizo ambayo madola makubwa hukumbana nayo. Amebaini kuwa matatizo ambayo Marekani inakabiliana nayo yanatokana na nguvu ilizonazo na sasa imeshindwa kutatua matatizo hayo na hali hiyo ndiyo ile ile liliyokumbana nayo Shirikisho la Sovieti.

  • Iran, China na Russia zashauriana kuhusu mazungumzo yajayo ya JCPOA

    Iran, China na Russia zashauriana kuhusu mazungumzo yajayo ya JCPOA

    May 31, 2021 22:22

    Mwakilishi wa Russsia katika taasisi za kimataifa zenye makao mjini Vienna nchini Austria amesema kuwa jumbe za Iran, China na Russia zimejadiliana huko Vienna kuhusu hatua mazungumzo yajayo ya JCPOA.

  • Putin ataka mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja

    Putin ataka mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja

    May 18, 2021 09:20

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametaka mashambulio ya kinyama yanayotekelezwa na utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja.

  • Ndege ya kijeshi ya Russia yatimua ndege ya kijasusi ya Marekani

    Ndege ya kijeshi ya Russia yatimua ndege ya kijasusi ya Marekani

    May 06, 2021 08:07

    Russia imetangaza leo Alkhamisi kuwa imetumia ndege yake ya kivita kufukuza ndege ya kijasusi ya Marekani iliyokuwa ikijaribu kuingia katika anga ya nchi hiyo kinyume cha sheria katika Bahari ya Chukchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS