-
Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League
Apr 12, 2021 22:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.
-
Ulyanov: Mafanikio ya awali yamepatikana katika kikao cha Vienna
Apr 09, 2021 22:06Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna amesema kuwa kumepatikana mafanikio ya awali katika kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika mji mkuu wa Austria.
-
Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran
Apr 08, 2021 03:37Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.
-
Russia na Hizbullah zataka kufunguliwa ofisi ya uwakilishi Moscow
Apr 07, 2021 03:12Serikali ya Russia na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon zinatafakari kuhusu uwezekano wa kufunguliwa ofisi ya uwakilishi ya harakati hiyo ya muqawama katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani
Apr 02, 2021 22:04Russia na Venezuela zimechukua hatua nyingine ya kuimarisha uhusiano wao kwa kuanzisha kamisheni ya viongozi wa nchi mbili na vile vile kuanzisha kamisheni tano za pamoja za kiufundi.
-
Taasisi 27 za Marekani zamtaka Biden apunguze mizozo na Russia
Mar 31, 2021 21:46Taasisi 27 za nchini Marekani zimemtaka rais wa nchi hiyo, Joe Biden ajiepushe na kushadidisha mivutano na misuguano na Russia.
-
Iran kuanza kuzalisha chanjo ya Russia ya Sputnik V
Mar 27, 2021 02:45Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuanza kuzalisha chanjo ya COVID-19 ya Sputnik V ya Russia ambayo sasa inataumika katika nchi nyingi duniani.
-
Russia: Nato ichague njia ya ama makabiliano au ushirikiano
Mar 25, 2021 06:57Viongozi wa ngazi ya juu wa Russia wamejibu matamshi ya Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kuhusu eti siasa za hujuma za Moscow na kusema Nato yenyewe ndio kitovi kikuu cha vitisho duniani. Wameongeza kuwa Brussels itatue matatizo yanayozikabili nchi wanachama wa muungano wa NATO na iweke wazi msimamo wake kuhusu Moscow.
-
Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA
Mar 24, 2021 07:51Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.
-
Mivutano baina ya Magharibi na nchi mbili za Russia na China yazidi kuwa mikubwa
Mar 24, 2021 02:33Nchi mbili za Russia na China zimetaka kuitishwe kikao maalumu cha wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutokana na kuongezeka sana mzozo baina ya nchi hizo mbili na Magharibi.