-
Russia: Amani haitapatikana Asia Magharibi bila kutatuliwa kadhia ya Palestina
Sep 18, 2020 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema ni kosa kudhani kuwa amani ya kudumu itapatikana katika eneo la Asia Magharibi pasi na kutatuliwa mgogoro wa Palestina.
-
Urusi yaikosoa Ujerumani kwa kukataa kuipatia rekodi za matibabu za Navalny
Sep 15, 2020 06:28Serikali ya Russia imeikosoa Ujerumani kwa kukataa kuipatia Moscow maelezo ya kimatibabu ya mpinzaji wa Russia, Alexei Navalny ambaye Magharibi inadai amepewa sumu, na badala yake imeipeleka kesi hiyo kwenye Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW).
-
Lavrov apinga tuhuma kwamba Russia inaingilia uchaguzi wa Marekani
Sep 13, 2020 03:04Uhusiano wa Russia na Marekani umekuwa na mivutano mikubwa baada ya kutokea mgogoro huko Ukraine mwaka 2014. Moja ya kadhia ambazo zimebadilika huko Marekani katika miaka ya karibuni na kuwa dhidi ya Moscow ni mjadala wa madai ya Russia kuingilia uchaguzi wa Marekani. Kwa kuzingatia kukaribia kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani hivi sasa soko la tuhuma hizo limezidi kupamba moto.
-
Moscow: Magaidi wa Jabhatu Nusra wanapanga kufanya mashambulizi ya kemikali Syria
Sep 12, 2020 03:48Wizara ya Ulinzi ya Russia imetahadharisha kuwa, kundi la kigaidi la Jabhatu Nusra linajitayarisha kufanya mashambulizi ya silaha za kemikali katika mkoa wa Idlib nchini Syria.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Tehran haijali nani atakua rais wa Marekani, Trump au Biden
Sep 11, 2020 06:25Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa si suala muhimu mwa Tehran kujua nani atakuwa rais wa Marekani na kuongeza kuwa, katika kipindi chote cha miongo minne iliyopita Marekani imekuwa ikiingilia chaguzi zinazofanyika katika nchi mblimbali duniani.
-
Russia: Tuko tayari kuongeza idadi ya washauri wa kijeshi CAR
Sep 10, 2020 07:27Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni mjumbe maalumu wa Rais Vladimir Putin wa Russia katika masuala ya Asia Magharibi na Afrika amesema kuwa, Moscow iko tayari kuongeza idadi ya washauri wake wa kijeshi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati iwapo kutaonekana kuna udharura wa kufanya hivyo.
-
Lavrov: Russia ina wasiwasi na hatua za Marekani za kuibua mivutano Mediterania
Sep 08, 2020 08:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hatua za Marekani za kuzusha hali ya mivutano katika eneo la mashariki mwa Mediterania.
-
UN, Uturuki zakosoa hukumu ya Saudia dhidi ya wauaji wa Khashoggi
Sep 08, 2020 03:23Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Saudi Arabia dhidi wahusika wa mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari raia wa Saudia aliyeuliwa kinyama ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo mjini Istanbul, Uturuki mwaka 2018.
-
Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia
Sep 04, 2020 02:52Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.
-
Russia yakanusha madai ya Ujerumani ya kumpa sumu Navalny
Sep 03, 2020 22:04Russia imekadhibisha madai kuwa Moscow ilimpa sumu mwanasiasa wa upinzani wa nchi hiyo Alexey Navalny ambaye anaendelea kupatiwa matibabu nchini Ujerumani.