Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia na China zapongeza kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA

    Russia na China zapongeza kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA

    Sep 02, 2020 03:31

    Russia na China zimepongeza mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA uliofanyika jana Jumanne huko Vienna, mji mkuu wa Austria.

  • Kansela wa Ujerumani asisitiza kuhusu nafasi  ya jiostratejiki ya Russia kimataifa

    Kansela wa Ujerumani asisitiza kuhusu nafasi ya jiostratejiki ya Russia kimataifa

    Aug 31, 2020 03:13

    Kansela wa Ujerumani amesema kuwa Russia ni nchi iliyo na nafasi ya jio-stratejiki na ametaka mazungumzo yafanyike kati ya Berlin na Moscow.

  • Kuumbuka tena Marekani kwa kukataliwa takwa lake la kutekeleza

    Kuumbuka tena Marekani kwa kukataliwa takwa lake la kutekeleza "Snapback Mechanism" na Rais wa Baraza la Usalama la UN

    Aug 26, 2020 08:18

    Baada ya Marekani kugonga mwamba kwa kushindwa kufanikisha njama yake ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kupitia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, iliamua kuwasilisha shtaka jengine dhidi ya Tehran kwa kisingizio kuwa eti imekiuka msingi wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwa hivyo ikataka utekelezwe Utaratibu wa Kurejesha Vikwazo Papo kwa Papo, unaojulikana kitaalamu kama 'Snapback Mechanism';

  • Jenerali Amir Hatami: Ushirikiano wa kijeshi wa Iran na Russia ni chanya

    Jenerali Amir Hatami: Ushirikiano wa kijeshi wa Iran na Russia ni chanya

    Aug 23, 2020 03:22

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni chanya na unaoendelea kuimarika.

  • Russia yaanza kuzalisha chanjo ya corona kwa matumizi ya umma, maambukizi yanaongezeka duniani

    Russia yaanza kuzalisha chanjo ya corona kwa matumizi ya umma, maambukizi yanaongezeka duniani

    Aug 15, 2020 06:58

    Russia imetangaza leo Jumamosi kwamba imeanza kuzalisha chanjo ya virusi vya corona (COVID-19) kwa ajili ya matumizi ya umma huku nchi mbalimbali duniani zikizidisha juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi hivyo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani yuko katika duru nyingine ya safari barani Ulaya

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani yuko katika duru nyingine ya safari barani Ulaya

    Aug 13, 2020 02:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ameanza duru mpya ya safari barani Ulaya baada ya safari nyingine wiki tatu zilizopita. Mara hii Pompeo anatembelea nchi nne za Ulaya ya Kati na Mashariki.

  • Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Aug 12, 2020 23:00

    Juhudi za Marekani za kutaka vikwazo vya silaha dhidi ya Iran virefushwe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekabiliwa na changamoto kubwa.

  • Rais Putin wa Russia atangaza chanjo ya kwanza ya corora duniani, binti yake apewa chanjo hiyo

    Rais Putin wa Russia atangaza chanjo ya kwanza ya corora duniani, binti yake apewa chanjo hiyo

    Aug 11, 2020 07:44

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametangaza leo kuwa, nchi yake imetengeneza chanjo ya kwanza kabisa ya virusii vya corona inayotoa kinga ya kudumu dhidi ya virusi hivyo.

  • Russia yakamilisha majaribio ya kitiba ya chanjo ya corona

    Russia yakamilisha majaribio ya kitiba ya chanjo ya corona

    Aug 06, 2020 03:43

    Waziri wa Afya wa Russia amesema kuwa majaribio ya chanjo ya corona yamekamilika nchini humo.

  • Jeshi la Libya: Russia inatuma silaha huko Libya

    Jeshi la Libya: Russia inatuma silaha huko Libya

    Aug 03, 2020 03:07

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limedai kuwa Russia inatuma wanajeshi na zana za kijeshi katika kituo cha jeshi la anga cha al Jufra nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS