Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Rwanda yapeleka misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza

    Rwanda yapeleka misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza

    Oct 22, 2023 06:26

    Rwanda imetuma misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza, kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina waliohasiriwa na kujeruhiwa katika mashambulio ya kinyama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo hilo.

  • Marekani yatangaza kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Rwanda; DRC yapongeza

    Marekani yatangaza kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Rwanda; DRC yapongeza

    Sep 22, 2023 07:58

    Marekani imetangaza kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Rwanda kwa tuhuma kwamba Kigali inawatumia watoto kama wanajeshi na kuunga mkono waasi wa M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.

  • Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni kwake

    Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni kwake

    Sep 22, 2023 07:08

    Raia wa Rwanda Denis Kazungu amekiri kosa la kuua watu 14 wengi wao wakiwa wanawake na kuficha miili yao ndani ya nyumba yake mjini Kigali.

  • Rais Kagame  dunia ichukue hatua za kusitisha mizozo

    Rais Kagame dunia ichukue hatua za kusitisha mizozo

    Sep 21, 2023 03:02

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema, pamoja na changamoto zinazoendelea duniani ikiwa ni pamoja na athari mbaya za janga la COVID19 na mabadiliko ya tabianchi, kuna haja ya kuwa na dunia yenye amani na matumaini, na kwa msingi huo amesisitiza kuwa, “tusipoze tu joto linaloathiri tabianchi bali pia tupoze mizozo.”

  • Wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda wakosoa mwito wa mahakama ya UN

    Wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda wakosoa mwito wa mahakama ya UN

    Aug 09, 2023 11:34

    Waathirika, wahanga na manusura wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 wamekosoa vikali mwito uliotolewa na majaji wa rufaa ya mahakama ya Umoja wa Mataifa wa kutaka kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili mshukiwa wa mauaji hayo ya kimbari, Felicien Kabuga isitishwe kwa muda usiojulikana.

  • Majaji wa mahakama ya UN wataka mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda aachiwe huru

    Majaji wa mahakama ya UN wataka mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda aachiwe huru

    Aug 08, 2023 12:36

    Majaji wa Umoja wa Mataifa wameamuru kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, Felicien Kabuga mwenye umri wa miaka 90 isitishwe kwa muda usiojulikana kwa sababu ana matatizo ya akili.

  • Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akamatwa Afrika Kusini

    Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akamatwa Afrika Kusini

    May 26, 2023 01:25

    Fulgence Kayishema, mmoja kati ya watuhumiwa wakuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambaye amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kwa miongo kadhaa sasa hatimaye ametiwa mbaroni nchini Afrika Kusini.

  • Rwanda yatoa kipaumbele katika kuzihamisha kaya zilizokumbwa na maafa baada ya mafuriko

    Rwanda yatoa kipaumbele katika kuzihamisha kaya zilizokumbwa na maafa baada ya mafuriko

    May 15, 2023 11:04

    Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa inatoa kipaumbele kwa suala la kuhamisha kaya za maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko ya wikii iliyopita katika mikoa kdhaa ya Kaskazini na Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Rwanda kutumia dola milioni 100 kukarabati miundomsingi iliyoharibiwa na mafuriko

    Rwanda kutumia dola milioni 100 kukarabati miundomsingi iliyoharibiwa na mafuriko

    May 08, 2023 02:59

    Serikali ya Rwanda imesema, imetenga karibu dola milioni 100 kukarabati miundombinu iliyoharibika kufuatia mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi wiki hii ambayo yalisababisha vifo vya watu 131 na kubomoa maelfu ya nyumba.

  • Mpango wa WFP wa kulisha watoto mashuleni Rwanda na matokeo yake chanya

    Mpango wa WFP wa kulisha watoto mashuleni Rwanda na matokeo yake chanya

    Apr 30, 2023 02:09

    Mkakati wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wa kulisha watoto shuleni umesababisha mabadiliko makubwa katika maisha ya watoto wa shule nchini Rwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS