-
Kuvunjwa safari ya Mike Pompeo Korea Kaskazini; nukta ya kubatilika madai ya Trump
Aug 26, 2018 22:48Katika kipindi cha utawala wake nchini Marekani, Rais Donald Trump amejaribu kufanya mabadiliko anayoyaona kuwa makubwa katika uga wa ndani na nje ya nchi hiyo ili kwa njia hiyo aweze kujidhihirisha kuwa rais anayependwa na aliyefanikiwa zaidi katika utekelezaji wa majukumu yake nchini humo.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia nchini Ethiopia
Mar 09, 2018 22:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amewasili Addis Ababa kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Ethiopia.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Misri
Feb 12, 2018 23:27Rex W. Tillerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akiwa katika safari yake ya kiduru katika kuzitembelea nchi za eneo, aliwasili jana mjini Cairo, mji mkuu wa Misri.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa Afrika
Feb 03, 2018 23:11Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya safari huko Tunisia na Senegal na kufanya mashauriano na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbili hizo kuhusu masuala mbalimbali kama kuzidisha ushirikiano wa pande mbili, mapambano dhidi ya ugaidi na masuala yanayohusiana na Libya.
-
Safari na Bin Salman Uingereza yaahirishwa kwa tuhuma za kufanya jinai dhidi ya binadamu
Feb 03, 2018 12:05Safari iliyopangwa kufanywa na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Uingereza imeahirishwa kwa muda usiojulikana baada wabunge, jumuiya za kiraia na makundi ya kutetea haki za binadamu kupinga safari hiyo.
-
Russia yawaonya raia wake kutotembelea Ulaya na Marekani
Nov 18, 2017 11:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imewatahadharisha raia wake walio na nia ya kutembelea Marekani na nchi za Ulaya katika kipindi cha sherehe za mwaka mpya wa Milaadia na kusema kuwa kuna hatari ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika nchi hizo.
-
Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili
Sep 29, 2017 04:27Alkhamisi ya jana tarehe 28 Septemba, Rais Vladimir Putin wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo mjini Ankara Uturuki na Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan, ambapo viongozi hao wawili wamebadilishana mawazo kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la Mashariki ya Kati pamoja na uhusiano wa pande mbili.
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Uingereza nchini Saudia
Sep 22, 2017 00:54Jumanne iliyopita, Michael Cathel Fallon, Waziri wa Ulinzi wa Uingereza sambamba na kukutana mjini Jeddah na Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme nchini Saudia, walitiliana saini mikataba ya ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama.
-
Malengo ya safari ya pamoja ya Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Ufaransa nchini Iraq
Aug 27, 2017 21:46Juzi Jumamosi tarehe 26 Agosti, Jean-Yves Le Drian na Florence Parly, Mawaziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Ufaransa, waliwasili Baghdad, mji mkuu wa Iraq wakiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yao kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa Baghdad.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani katika nchi za Jordan, Uturuki na Ukraine
Aug 21, 2017 03:44Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis jana Jumapili aliwasili Amman katika awamu ya kwanza ya safari ya kuzitembelea nchi tatu za Jordan, Uturuki an Ukraine.