Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Ayatullah Khatami: Maadui wanataka kudhoofisha umoja wa Waislamu

    Ayatullah Khatami: Maadui wanataka kudhoofisha umoja wa Waislamu

    Jul 08, 2022 06:32

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa Tehran amesema maadui wanafanya juu chini kupunguza na kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu kwa kutumia mbinu mbalimbali.

  • Hujjatul Islam Akbari: Umma upambanue habari za kweli na urongo za vyombo vya habari

    Hujjatul Islam Akbari: Umma upambanue habari za kweli na urongo za vyombo vya habari

    Jun 17, 2022 07:00

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameuasa umma wa Kiislamu ujue kupambanua na kutofautisha habari za kweli na zisizo sahihi zinazotangazwa au kuchapishwa na vyombo mbalimbali vya habari.

  • Hujjatul Islam Kazem Seddiqi : Muqawama wa Lebanon ulivunja pembe ya Wamarekani

    Hujjatul Islam Kazem Seddiqi : Muqawama wa Lebanon ulivunja pembe ya Wamarekani

    May 27, 2022 06:40

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ametoa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 22 ya ushindi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon dhidi Wazayuni na kusema, Wazayuni walionja ladha chungu ya kwanza ya kushindwa baada ya kuondoka kwa madhila huko kusini mwa Lebanon.

  • Ayatullah Khatami: Safari ya Rais Bashar al-Assad nchini Iran ilikuwa ya kimkakati

    Ayatullah Khatami: Safari ya Rais Bashar al-Assad nchini Iran ilikuwa ya kimkakati

    May 13, 2022 06:46

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari ya hivi karibuni ya Rais Bashar al-Assad wa Syria nchini Iran ilikuwa ya kimkakati.

  • Maimamu wa Ijumaa Iran: SEPAH ni mwiba kwa adui na tumaini kwa Waislamu wote

    Maimamu wa Ijumaa Iran: SEPAH ni mwiba kwa adui na tumaini kwa Waislamu wote

    Apr 22, 2022 22:24

    Maimamu wa Sala za Ijumaa zilizosaliwa jana kote nchini Iran walisema katika khutba zao kuwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ni mwiba katika macho ya maadui na ni tumaini jema kwa kila Muislamu ulimwenguni.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Maandamano ya Siku ya Quds yanamtia kiwewe adui Mzayuni

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Maandamano ya Siku ya Quds yanamtia kiwewe adui Mzayuni

    Apr 22, 2022 07:00

    Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa jijini Tehran amesisitizia wajibu wa kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, maandamano hayo yanamtia kiwewe adui.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran akosoa ubaguzi wa nchi za Magharibi katika kadhia ya Ukraine

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran akosoa ubaguzi wa nchi za Magharibi katika kadhia ya Ukraine

    Mar 11, 2022 08:20

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amekosoa sera za kibaguzi za nchi za Magharibi za kuwatambua wazugu na watu weupe kutoka Ukraine kuwa ndio boza zaidi ya watu wa rangi nyingine na kusema hilo ni doa jeusi na la kufedhehesha.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Mapinduzi ya Kiislamu, sawa na Ashura na Ghadir ni akiba isiyomalizika

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Mapinduzi ya Kiislamu, sawa na Ashura na Ghadir ni akiba isiyomalizika

    Feb 04, 2022 08:26

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema: "Mapinduzi ya Kiislamu sawa na matukio ya Ashura na Ghadir ni akiba isiyomalizika na inapaswa kutumiwa ipasavyo."

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran atoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran atoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 31, 2021 09:24

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kama utawala haramu wa Kizayuni wa Israel utathubutu kufanya kosa dogokabisa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitatoa jibu kali dhidi yake ambalo litakuwa ni la kuumiza.

  • Ayatullah Khatami: Taifa la Iran halitokubali chochote ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote

    Ayatullah Khatami: Taifa la Iran halitokubali chochote ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote

    Dec 03, 2021 08:22

    Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa, taifa la Iran halitokubaliana na chochote katika mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna Austria ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote vya kidhulma lilivyowekewa taifa hili la Kiislamu na madola ya kibeberu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS