-
Wapalestina zaidi ya elfu 40 washiriki Swala ya Ijumaa katika msikiti wa al Aqsa
Mar 08, 2019 15:42Makumi ya maelfu ya Wapalestina leo Ijumaa wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika msikiti wa al Aqsa licha ya kuchukuliwa hatua kali za kiusalama na utawala wa Kizayuni.
-
Ayatullah Movahedi-Kermani: Safari ya Rais Assad hapa Tehran inaonyesha uwezo mkubwa wa Iran
Mar 01, 2019 16:21Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari ya Rais Bashar al-Assad wa Syria mjini Tehran ni tukio la kihistoria linaloakisi uwezo mkubwa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo zima la Mashariki ya Kati.
-
Ayatullah Movahhedi Kermani: Lengo la maadui ni kuleta hali ya kukatisha tamaa kwa wananchi
Sep 28, 2018 14:37Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, lengo la njama kubwa za maadui na hatua yao ya kuanzisha vita vya kila upande vya kiuchumi na kisaikolojia ni kuwakatisha tamaa na kuwachokesha wananchi wa Iran ambao daima wamekuwa na mahudhurio makubwa katika medani za masuala ya Iran ya Kiislamu.
-
Ayatullah Kashani: Trump ataingia kaburini na ndoto yake ya kutaka kuliteka eneo la Mashariki ya Kati
Sep 07, 2018 14:54Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, rais wa Marekani, Donald Trump na wapambe wake karibuni hivi wataangamia na ndoto yao ya kutaka kuliteka eneo la Mashariki ya Kati
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran asema Marekani, Israel zitajuta zikijaribu kuichokoza Iran
Aug 24, 2018 14:12Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Marekani ina wasiwasi kuhusu usalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kuongeza kwamba, iwapo Marekani na utawala wa Kizayuni zitachukua hatua yoyote ya kijinga ya kuichokoza Iran, basi zitajuta kwani maelfu ya makombora ya muqawama yataungamiza mji wa Tel Aviv.
-
Siddiqui: Iran haitafanya mazungumzo na serikali na rais wa sasa Marekani
Aug 03, 2018 15:38Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema Wamarekani si watu wa kufanya nao mazungumzo na iwapo kuna siku Iran itafanya mazungumzo basi si na rais na serikali ya sasa ya Marekani.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran asisitiza kuhusu kupambana na kila aina ya ufisadi
Jul 20, 2018 14:03Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesisitiza kuhusu kukabiliana vikali na kila aina ya ufisadi.
-
Maelefu ya Wapalestina washiriki Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds
Jun 08, 2018 13:53Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Maandamano ya wananchi wa Iran baada ya Sala ya Ijumaa kupinga Marekani
May 11, 2018 04:22Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wanatazamiwa kushiriki katika maandamano makubwa baada ya Sala ya Ijumaa kulaani Marekani na sera zake za kiistikbari na ukiukaji wa ahadi.
-
Sayyid Aboutorabi: Kwa miongo yote minne taifa la Iran limepambana vikali na udhalimu
Apr 27, 2018 13:50Mohammad-Hassan Aboutorabi Fard, khatibu wa swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amezungumzia njama za Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kuharibu makubaliano ya nyuklia (JCPOA) na kusema, kwa miongo minne taifa la Iran limepambana na hatua za kiuhasama na kidhalimu zikiwemo za Marekani.