Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo

    Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo

    Sep 09, 2021 08:11

    Licha ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia wakiwa huko Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi wakilalamikia kuchelewa kupata tiketi ya ndege kwenda kufanyia kazi Uarabuni.

  • Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza

    Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza

    Sep 07, 2021 06:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amezitaka Marekani na Uingereza kutoa mchango chanya na kutoegemea upande wowote katika juhud za kurejesha amani huko Yemen.

  • Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa

    Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa

    Sep 07, 2021 06:38

    Taasisi moja ya Utafiti ya nchini Marekani imetangaza kuwa Saudi Arabia ni nchi ya saba kwa kukiuka uhuru na demokrasia duniani.

  • HAMAS yautaka utawala wa Saudi Arabia uwaachilie huru mahabusu wa Kipalestina

    HAMAS yautaka utawala wa Saudi Arabia uwaachilie huru mahabusu wa Kipalestina

    Aug 05, 2021 08:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wote Wapalestina inaowashikilia na kufunga faili lao.

  • Amnesty International: Ukandamizaji umeongezeka sana nchini Saudi Arabia

    Amnesty International: Ukandamizaji umeongezeka sana nchini Saudi Arabia

    Aug 03, 2021 20:25

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, Saudi Arabia imezidisha ukandamiza dhidi ya raia baada ya kumalizika muda wa uenyekiti wake katika kundi la G20.

  • Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'

    Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'

    Aug 01, 2021 03:32

    Serikali ya Algeria imeipokonya kanali moja ya televisheni ya Saudi Arabia leseni ya kuhudumu nchini humo.

  • Bin Salman atekeleza njama ya kumuangamiza mrithi wa zamani wa kiti cha ufalme huku dunia ikiwa imekaa kimya

    Bin Salman atekeleza njama ya kumuangamiza mrithi wa zamani wa kiti cha ufalme huku dunia ikiwa imekaa kimya

    Jul 15, 2021 06:23

    Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na habari za kuzorota hali ya haki za binadamu na kuongezeka mateso katika jela za kuogofya za utawala wa Saudi Arabia, moja ikiwa inahusiana na mateso makali dhidi ya Mohammad Bin Nayef, mrithi wa zamani wa ufame wa Saudia.

  • Duru za kuaminika: Muhammad bin Nayef mahututi, anaweza kufa wakati wowote

    Duru za kuaminika: Muhammad bin Nayef mahututi, anaweza kufa wakati wowote

    Jul 13, 2021 23:37

    Mrithi wa zamani wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Nayef anayeshikiliwa mahabusu ameripotiwa kuwa katika hali mbaya na mahututi na kwamba anaweza kufariki dunia wakati wowote,

  • Sultan Haitham awasili Saudia katika safari ya kwanza ya kiongozi wa Oman baada ya kupita zaidi ya miaka 10

    Sultan Haitham awasili Saudia katika safari ya kwanza ya kiongozi wa Oman baada ya kupita zaidi ya miaka 10

    Jul 11, 2021 23:10

    Sultan Haitham bin Tarik wa Oman amefanya safari ya kwanza nje ya nchi kwa kuitembelea Saudi Arabia, ikiwa pia ni mara ya kwanza kufanywa na kiongozi mkuu wa Oman huko Riyadh baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja.

  • Wimbi jipya la corona latua pia nchini Saudi Arabia, mamia ya watu waambukizwa

    Wimbi jipya la corona latua pia nchini Saudi Arabia, mamia ya watu waambukizwa

    Jun 30, 2021 01:48

    Wizara ya Afya ya Saudi Arabia jana ilitangaza kuwa, watu 1,567 wamethibitishwa kukumbwa na ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha siku moja nchini humo. Hilo lilikuwa ni tangazo rasmi kuwa Saudia imo kwenye wimbi jipya la maambukizi ya kirusi cha corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS