-
Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo
Sep 09, 2021 08:11Licha ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia wakiwa huko Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi wakilalamikia kuchelewa kupata tiketi ya ndege kwenda kufanyia kazi Uarabuni.
-
Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza
Sep 07, 2021 06:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amezitaka Marekani na Uingereza kutoa mchango chanya na kutoegemea upande wowote katika juhud za kurejesha amani huko Yemen.
-
Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa
Sep 07, 2021 06:38Taasisi moja ya Utafiti ya nchini Marekani imetangaza kuwa Saudi Arabia ni nchi ya saba kwa kukiuka uhuru na demokrasia duniani.
-
HAMAS yautaka utawala wa Saudi Arabia uwaachilie huru mahabusu wa Kipalestina
Aug 05, 2021 08:12Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wote Wapalestina inaowashikilia na kufunga faili lao.
-
Amnesty International: Ukandamizaji umeongezeka sana nchini Saudi Arabia
Aug 03, 2021 20:25Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, Saudi Arabia imezidisha ukandamiza dhidi ya raia baada ya kumalizika muda wa uenyekiti wake katika kundi la G20.
-
Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'
Aug 01, 2021 03:32Serikali ya Algeria imeipokonya kanali moja ya televisheni ya Saudi Arabia leseni ya kuhudumu nchini humo.
-
Bin Salman atekeleza njama ya kumuangamiza mrithi wa zamani wa kiti cha ufalme huku dunia ikiwa imekaa kimya
Jul 15, 2021 06:23Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na habari za kuzorota hali ya haki za binadamu na kuongezeka mateso katika jela za kuogofya za utawala wa Saudi Arabia, moja ikiwa inahusiana na mateso makali dhidi ya Mohammad Bin Nayef, mrithi wa zamani wa ufame wa Saudia.
-
Duru za kuaminika: Muhammad bin Nayef mahututi, anaweza kufa wakati wowote
Jul 13, 2021 23:37Mrithi wa zamani wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Nayef anayeshikiliwa mahabusu ameripotiwa kuwa katika hali mbaya na mahututi na kwamba anaweza kufariki dunia wakati wowote,
-
Sultan Haitham awasili Saudia katika safari ya kwanza ya kiongozi wa Oman baada ya kupita zaidi ya miaka 10
Jul 11, 2021 23:10Sultan Haitham bin Tarik wa Oman amefanya safari ya kwanza nje ya nchi kwa kuitembelea Saudi Arabia, ikiwa pia ni mara ya kwanza kufanywa na kiongozi mkuu wa Oman huko Riyadh baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja.
-
Wimbi jipya la corona latua pia nchini Saudi Arabia, mamia ya watu waambukizwa
Jun 30, 2021 01:48Wizara ya Afya ya Saudi Arabia jana ilitangaza kuwa, watu 1,567 wamethibitishwa kukumbwa na ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha siku moja nchini humo. Hilo lilikuwa ni tangazo rasmi kuwa Saudia imo kwenye wimbi jipya la maambukizi ya kirusi cha corona.