-
Alimu mkubwa Tunisia: Fatwa za mamufti wa Kiwahabi, zinalenga kuusambaratisha Uislamu
Apr 11, 2018 00:08Alimu mmoja wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Tunisia, amesema kuwa fatwa za upotoshaji za mamufti wa Saudia, zinaelekea kuuangamiza umma wa Kiislamu.
-
Saudia inapanga kuigeuza Qatar kisiwa na jalala la takataka za nyuklia
Apr 10, 2018 12:25Saudi Arabia inapanga kuanzisha mradi wa ujenzi wa mfereji kwenye mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar ambao utaigeuza nchi hiyo ndogo ya Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi kuwa kisiwa.
-
Wimbi la upinzani wa kuuziwa silaha Saudi Arabia huko Ufaransa
Apr 10, 2018 07:55Malalamiko ya kutaka kusitishwa kuuziwa silaha Saudi Arabia yameshadidi nchini Ufaransa sambamba na safari ya Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu
Apr 09, 2018 09:34Wasomi wakubwa wa Kiislamu nchini Nepal wameulaani utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudia kwa hatua yake ya kutumia kisiasa na kwa malengo yao binafsi ibada ya Hijjah na maeneo matukufu ya Waislamu.
-
Askari wa Saudia wanaoshiriki vita Yemen wachoshwa na mienendo hasi ya Bin Salman
Apr 07, 2018 22:24Kufuatia kuzorota usalama wa maeneo ya mpakani ya Saudia kutokana na vita vya muungano vamizi wa nchi za Kiarabu unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen, askari wa Saudia wanaolinda mpaka wameonyesha kukerwa na mienendo mibaya ya Mohammad Bin Salman kwa kutuma video za malalamiko katika mitandao ya kijamii.
-
Marekani yaafiki kuiuzia Saudia silaha licha ya mauaji ya Wayemeni
Apr 06, 2018 03:14Washington imekubali kuiuzia Riyadh mifumo 180 ya mizinga yenye thamani ya dola bilioni 1.31 ikiwa ni katika mwendelezo wa Marekani wa kuiuzia Saudia silaha za mabilioni ya dola.
-
Hujuma ya tatu ya Wayemen iliyolenga Shirika la Aramco, mwaka mgumu wa kivita kwa Saudia
Apr 05, 2018 21:53Vikosi vya Jeshi la Yemen na Kamati za Wananchi kwa mara nyingine vimevurumisha makombora ya balistiki ya Badr ambayo yamelenga kwa mafanikio vituo vya kuzalisha mafuta ya petroli vya Shirika la Aramco la Saudi Arabia katika mji wa Jizan ulio kusini magharibi mwa Saudia.
-
Jeshi la Yemen lashambulia tena kwa kombora Shirika la Mafuta la Saudia Aramco
Apr 05, 2018 03:32Kwa mara nyingine, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na Harakati ya Kiislamu ya Answarullah, limeshambulia kwa kombora ghala la kuhifadhia mafuta la Shirika kubwa la Mafuta nchini Saudia Aramco katika mji wa Jizan, kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Zarif: Saudia inaendelea 'kukamwa' kwa kutoleshwa fidia na Trump
Apr 04, 2018 22:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Mtindo wa rais wa Marekani wa 'kuikama' Saudi Arabia unaendelezwa bila kusita.
-
Bin Salman aukingia kifua hadharani utawala haramu wa Israel
Apr 03, 2018 09:29Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia amejitokeza hadharani na kuutambua utawala huo ghasibu, sambamba na kusisitiza kuwa Wazayuni wana haki juu ya ardhi yao.